Mzee wa makamo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2024
- 200
- 444
- Thread starter
- #41
abdala wino umetelezaMwandishi? Ni Christopher Zombe au Abdalah Zombe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
abdala wino umetelezaMwandishi? Ni Christopher Zombe au Abdalah Zombe?
Hahaha kumbe ndo maana wazee wananiambia vijana mnajiona nyie ndo wajanja wakati mnayoyafanya tumeshaishi humo.toroha ni muhuni sana
Abdallah Mwamwindi alimuua kwa kumpiga Risasi Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupeleka maiti kituo cha polisiIpoje share kidogo
Sarah unaijua lakini ?
naam uhuni umeanza mudaHahaha kumbe ndo maana wazee wananiambia vijana mnajiona nyie ndo wajanja wakati mnayoyafanya tumeshaishi humo.
Basi nilijua amefarikiKwasasa Abdallah Zombe Anaishi Mkambalani, Morogoro
Umetisha mshua 👊.... Ngoja ntaipitiaAbdallah Mwamwindi alimuua kwa kumpiga Risasi Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupeleka maiti kituo cha polisi
Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake
JF imekuwa ni mahali pa kupashana habari na kuweza pia kuzungumzia mambo ya historia yetu na mwelekeo wa nchi. Kuna Huyu bwana anajulikana kama marehemu Dr Kleruu, mie nimekuwa nikimsikia katika wimbo wa Mbaraka Mwinshehe kuwa alikuwa mwanamapinduzi. Je, kuna yeyote anaweza kutupatia taarifa...www.jamiiforums.com
Aseeh kweli kabisa vijana tunaiga tuu,naam uhuni umeanza muda
mbona alikua mtu poa sana, tulikua tunahang out sana mkesha wa mwaka mpa kifamilia sjajua maybe i was young kiasi sikuwez kumjua mtu huyu yuko vipi hii ni kabla hajahamia dar na kukumbwa na masekeAlipokuwa obay pale alikuwa mjivuni sana huyo
Ova
ni kweli?hata kama walitoka hawata sema
Kama utakumbuka maneno haya mahakama zetu zina kwenda kwa simu za wakubwa.Kesi ya Zombe ni moja ya kesi maarufu za mauaji nchini Tanzania. Inamhusisha aliyekuwa Afisa wa Polisi, Abdallah Zombe, na maafisa wengine wa polisi waliotuhumiwa kuhusika na mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini kutoka Mahenge, mkoani Morogoro, mwaka 2006.
Maelezo ya Kesi
Mnamo Januari 2006, wafanyabiashara hao—Julius Alphonce Msuya, Sadick Kalokola, na Juma Mohamed Malano—walikamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakishukiwa kuwa ni majambazi. Hata hivyo, baadaye walipatikana wameuawa katika eneo la Pande, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Polisi walidai kuwa waliwaua kwa risasi katika "majibizano ya moto" baina yao na majambazi.
Mchakato wa Kesi
- Uchunguzi wa awali ulionesha kuwa mauaji hayo yalikuwa ya kupangwa, na wahusika walijaribu kuyaficha kama mauaji ya kawaida ya majambazi.
- Hatimaye, Zombe na maafisa wenzake walifikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya mauaji.
- Mnamo 2009, Mahakama Kuu ya Tanzania iliwahukumu maafisa wengine wa polisi waliohusika, lakini abdallah Zombe aliachiliwa huru kutokana na ushahidi kutokuwa wa moja kwa moja dhidi yake.
- Baadaye, upande wa mashtaka ulikata rufaa, lakini Zombe aliendelea kuwa huru.
Umuhimu wa Kesi
Kesi ya Zombe ilizua mijadala mikali kuhusu matumizi ya nguvu kupita kiasi na ukiukwaji wa haki za binadamu ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania. Ilibainisha changamoto katika mfumo wa haki za jinai na umuhimu wa uwajibikaji kwa maafisa wa polisi.
Hadi leo, kesi hii bado inabakia kuwa kumbukumbu muhimu ya changamoto za utawala wa sheria nchini Tanzania
NB:hii nchi imepitia uhuni sana
Hajafa, yupo....Hivi Zombe alikufaje?
Kesi ya Zombe ni moja ya kesi maarufu za mauaji nchini Tanzania. Inamhusisha aliyekuwa Afisa wa Polisi, Abdallah Zombe, na maafisa wengine wa polisi waliotuhumiwa kuhusika na mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini kutoka Mahenge, mkoani Morogoro, mwaka 2006.
Maelezo ya Kesi
Mnamo Januari 2006, wafanyabiashara hao—Julius Alphonce Msuya, Sadick Kalokola, na Juma Mohamed Malano—walikamatwa na polisi jijini Dar es Salaam wakishukiwa kuwa ni majambazi. Hata hivyo, baadaye walipatikana wameuawa katika eneo la Pande, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Polisi walidai kuwa waliwaua kwa risasi katika "majibizano ya moto" baina yao na majambazi.
Mchakato wa Kesi
- Uchunguzi wa awali ulionesha kuwa mauaji hayo yalikuwa ya kupangwa, na wahusika walijaribu kuyaficha kama mauaji ya kawaida ya majambazi.
- Hatimaye, Zombe na maafisa wenzake walifikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya mauaji.
- Mnamo 2009, Mahakama Kuu ya Tanzania iliwahukumu maafisa wengine wa polisi waliohusika, lakini abdallah Zombe aliachiliwa huru kutokana na ushahidi kutokuwa wa moja kwa moja dhidi yake.
- Baadaye, upande wa mashtaka ulikata rufaa, lakini Zombe aliendelea kuwa huru.
Umuhimu wa Kesi
Kesi ya Zombe ilizua mijadala mikali kuhusu matumizi ya nguvu kupita kiasi na ukiukwaji wa haki za binadamu ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania. Ilibainisha changamoto katika mfumo wa haki za jinai na umuhimu wa uwajibikaji kwa maafisa wa polisi.
Hadi leo, kesi hii bado inabakia kuwa kumbukumbu muhimu ya changamoto za utawala wa sheria nchini Tanzania
NB:hii nchi imepitia uhuni sana
shukrani mwambaHukumu ya mwisho kabisa ya mojawapo ya Wahalifu wa tukio hilo imetolewa leo na Mahakama. Mahakama ya Rufani kwa mara nyingine tena imethibitisha kwamba Askari Polisi Christopher Bageni anapaswa kunyongwa hadi kufa. Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania, kwa sasa Mtu huyo hana tena nafasi au Haki nyingine ya Kukata Rufaa Mahakamani ili kupinga Hukumu hiyo. Hukumu hiyo ni ya mwisho kabisa.
Hii ni Habari njema Sana kwa Wapenda HAKI hapa Tanzania.
Ili kulinda maslahi mapana zaidi ya umma katika nchi hii, Rais wa nchi anapaswa ASAINI HATI YA KIFO ya huyu Mtu ili angalau kuanza kurejesha imani iliyopotea miongoni mwa Wananchi dhidi ya vyombo vya Dola, hususani kwa Jeshi la Polisi na Tiss.
Siyo Siri hata kidogo, Wananchi wengi zaidi tayari wamepoteza kabisa Imani dhidi ya Jeshi la Polisi kutokana na vitendo viovu vya uhalifu kama aliofanya huyu Askari Polisi Christopher Bageni.