Unaikumbuka kesi ya Zombe; watoto wa 2000 kaeni mbali kidogo

Kuna kipindi kesi za watumishi zinaamuliwa kimchongo.. Sanaa ila wanasahau kuwa haki ya kweli ipo mbinguni..

Hapo ndiyo unakuta dereva anapigwa bastola anakufa mtuhumiwa anaachiwa kuwa aliua bila kukusudia matokeo yake hukumu ya Mungu anakufa kihoroo mwenyewe...Tena guest..

Hata hao ambao waliachiwa kwa hiyo kesi ya wafanya biashara ya madini ukiwaona leoo wapo kama akili imeruka.. Itoshe kusema.. Hakimu wa kweli ni Mungu..
 
Ipoje share kidogo

Sarah unaijua lakini ?
Abdallah Mwamwindi alimuua kwa kumpiga Risasi Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupeleka maiti kituo cha polisi

 
Umetisha mshua 👊.... Ngoja ntaipitia
 
Alipokuwa obay pale alikuwa mjivuni sana huyo

Ova
mbona alikua mtu poa sana, tulikua tunahang out sana mkesha wa mwaka mpa kifamilia sjajua maybe i was young kiasi sikuwez kumjua mtu huyu yuko vipi hii ni kabla hajahamia dar na kukumbwa na maseke
 
Kama utakumbuka maneno haya mahakama zetu zina kwenda kwa simu za wakubwa.
 
Hata kama hatukuwepo hampaswi kutufukuza mwacheni tujifunze na sisi kwan enzi za ukoloni ulikuwepo?
 

Hukumu ya mwisho kabisa ya mojawapo ya Wahalifu wa tukio hilo imetolewa leo na Mahakama. Mahakama ya Rufani kwa mara nyingine tena imethibitisha kwamba Askari Polisi Christopher Bageni anapaswa kunyongwa hadi kufa. Kwa mujibu wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania, kwa sasa Mtu huyo hana tena nafasi au Haki nyingine ya Kukata Rufaa Mahakamani ili kupinga Hukumu hiyo. Hukumu hiyo ni ya mwisho kabisa.
Hii ni Habari njema Sana kwa Wapenda HAKI hapa Tanzania.

Ili kulinda maslahi mapana zaidi ya umma katika nchi hii, Rais wa nchi anapaswa ASAINI HATI YA KIFO ya huyu Mtu ili angalau kuanza kurejesha imani iliyopotea miongoni mwa Wananchi dhidi ya vyombo vya Dola, hususani kwa Jeshi la Polisi na Tiss.

Siyo Siri hata kidogo, Wananchi wengi zaidi tayari wamepoteza kabisa Imani dhidi ya Jeshi la Polisi kutokana na vitendo viovu vya uhalifu kama aliofanya huyu Askari Polisi Christopher Bageni.
 
shukrani mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…