Unaikumbuka nick name yako ya sekondari? Tupia hapa

Ze bakteria
Wengi walizoea kuniita dogo bacteria yan
Kisa nilijibu swali
Alilouliza mwalimu aliuliza ni bacteria gani
Yupo kwenye nyama
Haha nkamenshen pale Ascaris
Doooooh alafu ndio kwanza nimeingia...hapo nimechelewa hahaha
Mpaka namaliza naitwa Bacteria
 
hahaha why nurse
Nilikuwa mpole sana shuleni na msafi pia halaf kadogo kadogo Siku moja palitokea mama mmoja akajifungua watoto watatu mapacha halaf nesi alomzalisha alikuwa na jina kama langu, Siku nyingine mwalimu akaingia darasani akauliza swali halaf akanipoint mm akanambia we nurse jibu hilo swali kwanza nkaduwaa nurse tena akanambia ndio we Fulani hahaha toka ile Siku hadi namaliza shule ya msingi watu wakawa wananiita nurse
 


hahahha walikutunuku jina zuri !nice
 
Back in time Y2K [emoji12] akina Malamsha,Mbwana (second), Lufyagile et al hawatasahau lile toleo la wanafunzi ahaha akina akajesus!

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app


mwaka 2000 mdabulo ilipochomwa ulikuepo? hao watu ht siwafaham ila kaka yangu alisomaga hapo !nadhan huenda ulikuepo toleo la kaka angu lol!rip bro
 

Fisi mwekundu
 
mwaka 2000 mdabulo ilipochomwa ulikuepo? hao watu ht siwafaham ila kaka yangu alisomaga hapo !nadhan huenda ulikuepo toleo la kaka angu lol!rip bro
Yes ndo tuliwasumbua hao wazee,hadi shule za Mungai hizo MET Mufindi Education Trust zikapunguza kudahili wanafunzi nje ya mkoa maana ndo waliolianzisha kasheshe, infact walichoma jengo la utawala wakaharibu chakula stoo kwa kuchanganya sukari mahindi maharage unga na mchele pamoja kisha wakavimwaga uwanja wa basketi, magodoro yao waliyaondoa bwenini wakayapeleka pori ili wachome mabweni lakini FFU waliwahi WAKORINTHO III ilizua kizaazaa kwa kweli RIP bro wako inawezekana namkumbuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…