Niliuumia sana kile kikosi cha dhahabu kikivyokosa WC ya 2002.Kwa kipindi hicho ulicho ainisha kuanzia johan cruffy mpaka kina Kluivert naweza kukuunga mkono ila baada ya hapo wamekuwa wakipata watu wawili watatu tu mfano kipindi cha kina van perse akawepo na wisley pamoja na van da vart basi sasa kwa mtiririko huo huwezi kusema kuwa wana gundu au nuksi lakini kipindi kile unakuta pana wachezaji zaidi ya saba watamu Kluivert pale seedorf hapa davida kule raizger pale winter kule blind hapo winston bogade yaani ilikuwa una uhakika wa kufika mwisho na wakotolewa ndio unasema wana nuksi.
Bila kumsahau na Victor Costa nampukakwa kipaji cha Marco Reus na majeraha yanayomsibu kila kukicha kuna muda mwingine unaweza ukatokwa na machozi! Hana bahati. Ni kama ilivyotokea kwa akina Owen Hargreaves, Martin Laursen, Dean Ashton na wengineo!
Umemsahau requelmeHakujawahi kuwepo kikosi kama hiki duniani.
Agiza pespi popote nakuja kulipa, umenikumbusha mbali sana.Kama sikosei Frank alikosa penati ndani ya dakika 90 akakosa penati pia baada ya dakika za nyongeza Toldo aliibuka shujaa Waholanzi hawakuamini maana walikuwa na kikosi kizuri sana.........Ila Waitaliano nao walienda kulizwa fainali na Mfaransa waliuliwa na goli la dhahabu.
Fundi wa mpiraUmemsahau requelme