Kwa kipindi hicho ulicho ainisha kuanzia johan cruffy mpaka kina Kluivert naweza kukuunga mkono ila baada ya hapo wamekuwa wakipata watu wawili watatu tu mfano kipindi cha kina van perse akawepo na wisley pamoja na van da vart basi sasa kwa mtiririko huo huwezi kusema kuwa wana gundu au nuksi lakini kipindi kile unakuta pana wachezaji zaidi ya saba watamu Kluivert pale seedorf hapa davida kule raizger pale winter kule blind hapo winston bogade yaani ilikuwa una uhakika wa kufika mwisho na wakotolewa ndio unasema wana nuksi.