Hahahahaha... Kweli hao wabishi, hapo nitasubiri saaaa..na
T[emoji23][emoji23][emoji23] kweli hao nimewavulia kofia
Abee! U miongoni mwa hao wabishi nini?
Inaitwa cheka ung'atwe hiyo
Tuwatafutie tuzo haoHawa ndo wakuu wa ubishi Ulimwengu mzima na viunga vyake[emoji23] [emoji23]