Za Nairobi hovyo tuuhata hyo nzuri sana product za south africa ni nzuri kweli
hope unatumia ya south africa sio ya nairobi
You will always look natural beauty,yaani asili haijaacha kitu mkuu,wapo wajanja wanatengeneza mpaka lipshine za asili,unaweka asali na samli,aisee unakua na tender lips hatarpoa mkuu castrol oil inasafisha tumbo unaharisha kila zagazaga huwa nakunywa sana nikijiona sipo ok?
ahaaa unatisha yaani ngoja nitengeneze lip shine zangu mkuu una idea amaizing sana thank youYou will always look natural beauty,yaani asili haijaacha kitu mkuu,wapo wajanja wanatengeneza mpaka lipshine za asili,unaweka asali na samli,aisee unakua na tender lips hatar
ahaaa unatisha yaani ngoja nitengeneze lip shine zangu mkuu una idea amaizing sana thank you
OrganicYA AINA IPI KATI YA ORGANIC AU INFUSSION MKUU
kitu cha south kama hakijachakachuliwa ni mazuri kweli mkuu.unapaka deodorant gani?
sipendi ninea maana ex wangu alikuwa anaitumia ..sipendi kabisa hata wewe nimekuchukia bure .kwenda huko mfyuuu!Nivea[emoji41]
Ukitoka hapo unanukia Kama wali wa pembaDuuh! Una "aleji" kama mimi nini?
Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.
Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
YAPO LAKINI MAZURI JITENGEZEE MWENYEWE KWANI MENGINE HUCHANGANYD MA MAFUTA HATA YA KORIE TU.NI RAHISI KUTENGENEZA ESSENTIAL OILyapo mkuu yanauzwa buku mbili tuu yanatoka zenj,yako poa sana,kwanza yanalainisha sana alafu ni moja ya mosquito repellent ya ukweli sana,pia yapo ya ndimu ingawa hayo sijawahi tumia
POAOrganic
sipendi ninea maana ex wangu alikuwa anaitumia ..sipendi kabisa hata wewe nimekuchukia bure .kwenda huko mfyuuu!
Nijuze huo mchanganyiko Nazi plus karafuu nakuendeleaDuuh! Una "aleji" kama mimi nini?
Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.
Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
Tujuzenakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
foundation natumia forever52 ni nzuri sana pamoja na poda! zingatia rangi ya ngozi yako na no.ya foundationHebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani?
Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya nazi niliyotengeneza mwenyewe. Kila Jumapili natengeneza.
Matokeo nipo soft mpaka najitamani.
Wewe je?
NB: Natafuta foundation nzuri sijapata naombeni idea
Mafuta ya Nazi ni mazuri Sana. Ndiyo ninayotumia ngozi laini hadi raha.Naogea Sabuni ya mche ya kigoma napaka mafuta ya nazi niliyotengeneza home (napaka kuanzia kichwani hadi miguuni)
sijutii ngozi yangu