Unajipaka mafuta gani mwilini?

Unajipaka mafuta gani mwilini?

poa mkuu castrol oil inasafisha tumbo unaharisha kila zagazaga huwa nakunywa sana nikijiona sipo ok?
You will always look natural beauty,yaani asili haijaacha kitu mkuu,wapo wajanja wanatengeneza mpaka lipshine za asili,unaweka asali na samli,aisee unakua na tender lips hatar
 
You will always look natural beauty,yaani asili haijaacha kitu mkuu,wapo wajanja wanatengeneza mpaka lipshine za asili,unaweka asali na samli,aisee unakua na tender lips hatar
ahaaa unatisha yaani ngoja nitengeneze lip shine zangu mkuu una idea amaizing sana thank you
 
Duuh! Una "aleji" kama mimi nini?

Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.

Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
Ukitoka hapo unanukia Kama wali wa pemba
 
yapo mkuu yanauzwa buku mbili tuu yanatoka zenj,yako poa sana,kwanza yanalainisha sana alafu ni moja ya mosquito repellent ya ukweli sana,pia yapo ya ndimu ingawa hayo sijawahi tumia
YAPO LAKINI MAZURI JITENGEZEE MWENYEWE KWANI MENGINE HUCHANGANYD MA MAFUTA HATA YA KORIE TU.NI RAHISI KUTENGENEZA ESSENTIAL OIL
 
Duuh! Una "aleji" kama mimi nini?

Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.

Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
Nijuze huo mchanganyiko Nazi plus karafuu nakuendelea
 
nakogea sabuni ninayotengenza mwenyewe yenye mchamganyiko wa nazi+asali.na papai
napaka mafuta ninayotengeneza mwenyewe anbayo nimeyapa jina DN ni mchanganyiko wa lavenda+mdalasini mbichi+mchaichai ni mazuri sana kwa jinsia zote tunapaka familia nzima na yana harufu nzuri sana
Tujuze
 
zoa zoa for oily skin nzuri sana hii nilipata shida wakati sijajua kila siku nabadilisha mafuta hali ikawa mbaya sana
 
Hebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani?

Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya nazi niliyotengeneza mwenyewe. Kila Jumapili natengeneza.
Matokeo nipo soft mpaka najitamani.

Wewe je?

NB: Natafuta foundation nzuri sijapata naombeni idea
foundation natumia forever52 ni nzuri sana pamoja na poda! zingatia rangi ya ngozi yako na no.ya foundation
 
Back
Top Bottom