Unajipaka mafuta gani mwilini?

Unajipaka mafuta gani mwilini?

Unatengeneza mwenyewe, interesting!na isitoshe huo mchanganyiko itabidi nikutafute nitest.mimi aleji sina ila nimegundua nikitumia mafuta na sabuni za mawese mba kichwani hupotea.ila bidhaa zingine mba kichwani kama kawa.
Hehe karibu.
 
Jaman naomba unielekeze unavoyatengeneza please!
Chukua nazi zako 3, 5, na kuendelea.
Kuna vizuri au kama huwezi kukuna waweza zibandua kisha ukakata vipande vidogo vidogo ukablend,
(me napendelea kukuna)

Ukishamaliza chuja upate tui zuri, waweza rudia tena kuchuja kama utaona tui lipo bado kwenye machicha,

Kisha tafuta mfuko wa nailon mweupe, (waweza tumia miwili au mitatu au hata mmoja, kutegemea na wingi wa tui lako)

Mimina tui kwenye mfuko huo, kisha ufunge kwa juu na uhifadhi sehem ambayo haitatikisika.

Acha kwa masaa kadhaa kuanzia ma 3,
Ukija kuangalia utakuta maji yapo chini na tui lipo juu, cha kufanya chukua mkasi kata kipande kidogo kwa chini kisha acha yale maji yamwagike (waweza kuelekezea kwenye sufuria au bakuli sio yamwagike chini.)

Mpaka ikikaribia na tui kutoka, bana lile tundu halafu elekezea kwenye sufuria unalotaka kuchemshia tui lako, achia lile tui lote, kisha tupia karafuu, au mdalasini au hiliki au vyote (kama utapenda kukata harufu kama mimi, kama hupendi acha usiweke hivyo viungo)

Chemsha tui lako huku unakoroga kwa mwiko usiache mpaka tui litakauka lote na kuonekana mafundo mafundo meupe na mafuta yatakuja juu. Endelea mpaka yale mafundo yaanze kua rangi ya kahawia (brown).

Shusha sufuria lako, acha kama dakika 10 yapoe kisha mimina kwenye chombo utakachotumia (chuja), tupia vile viungo kama uliweka.
Tayari kwa matumizi.
 
Thank you dear nimekupata vilivyo nikitulia nitafanya pratical then nitaleta mrejesho hapa@everhurt
 
Mafuta ya nazi licha tu ya kufanya ngozi iwe nyororo kama hariri, pia hutoa alama alama mwilini, na kwa wale wenye magonjwa ya ngozi yani wakazanie sana mafuta haya, ila "home made" ni mazuri na uhakika kuliko ya madukani.
Asa mamy kwanini unamimina tui kwenye lailon nyeupe kwan huwezi weka kene lailon ya rangi nyingine mbali na nyeupe?
 
Asa mamy kwanini unamimina tui kwenye lailon nyeupe kwan huwezi weka kene lailon ya rangi nyingine mbali na nyeupe?
Unaweza ukamimina kwenye bakuli afu unatumbukiza kipande cha mkaa, afu unaweka kwenye friji linalala ukiamka layer ya juu inakuwa imeganda
Unaitoa vzur na kijiko afu unapika
 
Sabuni ya magadi
Lotion ya palmer's cocoa butter
 
Chukua nazi zako 3, 5, na kuendelea.
Kuna vizuri au kama huwezi kukuna waweza zibandua kisha ukakata vipande vidogo vidogo ukablend,
(me napendelea kukuna)

Ukishamaliza chuja upate tui zuri, waweza rudia tena kuchuja kama utaona tui lipo bado kwenye machicha,

Kisha tafuta mfuko wa nailon mweupe, (waweza tumia miwili au mitatu au hata mmoja, kutegemea na wingi wa tui lako)

Mimina tui kwenye mfuko huo, kisha ufunge kwa juu na uhifadhi sehem ambayo haitatikisika.

Acha kwa masaa kadhaa kuanzia ma 3,
Ukija kuangalia utakuta maji yapo chini na tui lipo juu, cha kufanya chukua mkasi kata kipande kidogo kwa chini kisha acha yale maji yamwagike (waweza kuelekezea kwenye sufuria au bakuli sio yamwagike chini.)

Mpaka ikikaribia na tui kutoka, bana lile tundu halafu elekezea kwenye sufuria unalotaka kuchemshia tui lako, achia lile tui lote, kisha tupia karafuu, au mdalasini au hiliki au vyote (kama utapenda kukata harufu kama mimi, kama hupendi acha usiweke hivyo viungo)

Chemsha tui lako huku unakoroga kwa mwiko usiache mpaka tui litakauka lote na kuonekana mafundo mafundo meupe na mafuta yatakuja juu. Endelea mpaka yale mafundo yaanze kua rangi ya kahawia (brown).

Shusha sufuria lako, acha kama dakika 10 yapoe kisha mimina kwenye chombo utakachotumia (chuja), tupia vile viungo kama uliweka.

Tayari kwa matumizi.

Machicha ya Nazi pia ni mazuri.

Yanaweza kutumika kama "scrubs" vizuri kusugulia ngozi taratibu na kwa upole wakati wa kuoga.

Hii huwa inatumiwa sana kwa wenzetu wa mikoa ya ukanda wa pwani wanapomtayarisha mwali kabla ya siku ya ndoa.

Ila unaweza kabisa kutumia hiyo "sample" na kuanzisha "brand" yako ya nguvu, bado hujachelewa, if you know what I mean.
 
Chukua nazi zako 3, 5, na kuendelea.
Kuna vizuri au kama huwezi kukuna waweza zibandua kisha ukakata vipande vidogo vidogo ukablend,
(me napendelea kukuna)

Ukishamaliza chuja upate tui zuri, waweza rudia tena kuchuja kama utaona tui lipo bado kwenye machicha,

Kisha tafuta mfuko wa nailon mweupe, (waweza tumia miwili au mitatu au hata mmoja, kutegemea na wingi wa tui lako)

Mimina tui kwenye mfuko huo, kisha ufunge kwa juu na uhifadhi sehem ambayo haitatikisika.

Acha kwa masaa kadhaa kuanzia ma 3,
Ukija kuangalia utakuta maji yapo chini na tui lipo juu, cha kufanya chukua mkasi kata kipande kidogo kwa chini kisha acha yale maji yamwagike (waweza kuelekezea kwenye sufuria au bakuli sio yamwagike chini.)

Mpaka ikikaribia na tui kutoka, bana lile tundu halafu elekezea kwenye sufuria unalotaka kuchemshia tui lako, achia lile tui lote, kisha tupia karafuu, au mdalasini au hiliki au vyote (kama utapenda kukata harufu kama mimi, kama hupendi acha usiweke hivyo viungo)

Chemsha tui lako huku unakoroga kwa mwiko usiache mpaka tui litakauka lote na kuonekana mafundo mafundo meupe na mafuta yatakuja juu. Endelea mpaka yale mafundo yaanze kua rangi ya kahawia (brown).

Shusha sufuria lako, acha kama dakika 10 yapoe kisha mimina kwenye chombo utakachotumia (chuja), tupia vile viungo kama uliweka.
Tayari kwa matumizi.
oooh mimi huwa sichuji maji huwa nachemsha tui hvohvo kumbe ndo maana nakaa sana jikoni
asante kwa mbinu mpya
 
Back
Top Bottom