Unajipaka mafuta gani mwilini?

Unajipaka mafuta gani mwilini?

Now unatumia nini?

Niliyatumia ni mazuri.
Duh mi sieleweki kila mafuta nimo!but sbb ngozi yangu hainaga shida!
Kwa ss miki clair cream ila mwilini tu!hainifanyi kitu ila tu ngozi imekuwa vzr sn!

Usoni naogopa kupaka,sipaki sbb nina mafuta sn ngozi ya uso,ndo niliifikiria hii morrocan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani?

Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya nazi niliyotengeneza mwenyewe. Kila Jumapili natengeneza.
Matokeo nipo soft mpaka najitamani.

Wewe je?

NB: Natafuta foundation nzuri sijapata naombeni idea
Napaka bronze lotion na mafuta yaawese, naogea Dettol au shower gel ya dove, scrub nafanya manjano, miguu nasugua kweny jiwe nje
 
Back
Top Bottom