Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Sure, upo sahihi sana. It's a blessing to grow old na mke wako.Kuna wanaume wengine wameanza hata kuwa wavivu kuongozana na wake zao nyonyo zimeshuka, body haieleweki kama pipa hizi mambo bana.
Ila hakuna kitu kitamu na kinaheshimisha kama kuzeeka na mke wako wa ujana
Mnatoa bonge la lesson kwa watoto, wajukuu na jamii itawaheshimu. Halafu itokee mzee ulikuwa umejipanga kimaisha
Hiki ndio kipindi baadhi ya wanaume wanaanza hata kuwa wavivu kuongozana na wake zao wakicheki wife nyonyo zimeshuka, body haieleweki imenenepeana kama pipa hizi mambo bana.
Ila hakuna kitu kitamu na kinaheshimisha kama kuzeeka na mke wako wa ujana
Mnatoa bonge la lesson kwa watoto, wajukuu na jamii itawaheshimu. Halafu itokee mzee ulikuwa umejipanga kimaisha
Hiki ndio kipindi baadhi ya wanaume wanaanza hata kuwa wavivu kuongozana na wake zao wakicheki wife nyonyo zimeshuka, body haieleweki imenenepeana kama pipa hizi mambo bana.
Majujumu yameongezeka kichwani kwake mkuu.
Focus kubwa ni watoto na future yao.
NI psychological issue mkuu. I mean amekuwa na tabia za kiume
NI psychological issue mkuu. I mean amekuwa na tabia za kiume
Ndo ivo kupendeza ni hulka sio utajiri๐๐ Anazidi kukomaa kujifunika na vitenge kwenda mbele
Sana mkuuSure, upo sahihi sana. It's a blessing to grow old na mke wako.
Huna lolote umepata chums kipya sasa mkeo umemchokaHabari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale ๐ค,
โข Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.
โข Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.
โข Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.
โข Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.
โข Hivi ni nini kinachoendelea??
โข Wanaume mliooa, mnahisi hivi pia kama ninavyohisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.
........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." ๐.
Watu wanazeeka na wake zao mbona, tena kawaida sana mkuu. Hizo ups na downs zisikukatishe tamaa.Kuzeeka na mke/mme wa ndoa kwa miaka hii, naona kama inaenda kuwa story ya taifa siku zijazo.
Mnunulie mkeo mavazi yale unayoyatamani avae pamoja na marashi,matunzo sio chakula tu,mnunulie wewe kile unachopenda avae,mpe hela akasuke nywele nzuri akirudi mwambie avae Ile nguo nzuri uliyomnunulia ,hakuna mwanamke anayependa kuchakaa Ni maisha tu.
Thanks mkuu, wazo zuri sana, ๐ค๐คhakuna mwanamke anayependa kuchakaa Ni maisha tu
Achaga ujinga wako๐๐ ๐ ๐[emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka ile story.
Wanaume wa jamiiforum wakorofi๐๐๐๐Yupo kama shishi?
Watoto mkuu.Kwamba amekua na mambo mengi kupita uhalisia?
Mawazo anataka๐๐Wanaume wa jamiiforum wakorofi๐๐๐๐
Unaongelea dunia ya leo au ya babu zetu ukitaka kuoa na 27 utafute kabinti ka 17yrs kama mke? Kwenye maisha huwezi pata vyote chagua ambavyo ni major factors hizo minor chukulia tu kama changamoto ambazo kila binadamu anazoMwanaume unashauriwa uoe mwanamke unae mzidi umri kwelikweli, siyo chini ya miaka 10 na kuendelea hapo ndo utamuona mdogo wakati wote. Lakini nyie mnapenda difference ya miaka 2/3 mpaka 5. Hapa lazima azeeke kabla yako. Mwanamke anakuwa haraka kuliko mwanaume, so wakati wa kuoa angalia umri wake na mwili wake. Ukichukuwa tipwa tipwa na mimatako mikubwa ujue akizaa mwili wa juu hulingana na matako a.k.a polygon.