Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Watu wanapenda mada za umbea umbea tuu.
c3c4d78f7b1853188fabfd2d7b7dcbc1.jpg
 
Aiseeeee.
Mbaya zaidi, hapa palikuwa hakuna hata like moja.

Reply zipo 10 ila kati hizo 7 ni za mtoa mada, it means walireply 2 tu. 7+2+ post 1= Reply 10.

Pole mkuu, wengine hawataki Jf et kisa watu ni wachoyo wa kutoa like na coment.

Ishi maisha ya ww kama ww pasi kutegemea mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom