Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poa rafiki
Watu wanapenda mada za umbea umbea tuu.View attachment 1111545
Haya poa poa rafiki Kama Mia ngapi hiviAndaaa mkwanja tu
Aisee ndo maisha yetu hayo ya kibongoHahahhaha alafu huko pm zina wateja tena watu na heshima zaooo
Haya poa poa rafiki Kama Mia ngapi hivi
Aisee ndo maisha yetu hayo ya kibongo
Kikikiii [emoji16][emoji16][emoji16] mimi nitatokea nimekula kabisa[emoji1][emoji1]Hahaha hotelini vyuku kama hiki elf 29 tu na vinywaji kama 20000 sjui weweView attachment 1111548
Mbaya zaidi, hapa palikuwa hakuna hata like moja.Aiseeeee.
We jiulize magazeti ya umbea why yanaisha mapema kuliko Mwananchi,daile nwuzi,Ze sitizeniMm huwa napata tu rahaaa kwa mada hizo kumbe watu wanazikubali sanaaa
Kikikiii [emoji16][emoji16][emoji16] mimi nitatokea nimekula kabisa[emoji1][emoji1]
We jiulize magazeti ya umbea why yanaisha mapema kuliko Mwananchi,daile nwuzi,Ze sitizeni
Helaaa ipoo angalia salio hapo jamn kwann ule homeView attachment 1111551
Yeah ukitaka kumkamata mtz weka mambo yako kwenye maandishi wengi huwa hatusomiWabongo hawaataki michosho jiwe kawachoshaa wameamua kujipa rahaaa
Haya bhana, umetisha kinoma noma [emoji849][emoji849][emoji849]
Yeah ukitaka kumkamata mtz weka mambo yako kwenye maandishi wengi huwa hatusomi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haya mamilooKuwa na amani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haya mamiloo
Nawewe huwa unaandika? Angalia viuwa wa siredi zakoHivi ya kwangu huwa mnnasomaga
Usije ukanikimbia lakini