Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
like ni appreciation we makaleoHiyo Like inakupa shi ngapi na Dislike inakupunguzia shi ngapi?
Ni kosa kisheria kuingilia uhuru binafsi wa maamuzi ya mtu.Unamzungumizia huyu kenge ye34nbe
Kama unaandika mashudu utapataje like we kengelelike ni appreciation we makaleo
ye34nbe anaweza kuelezea hilikwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe ๐
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani๐ ๐ ๐
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi๐
unaswaga za kutaka hela mda wote we mdangalaji unadhan utapata ๐ hapa JF?Kama unaandika mashudu utapataje like we kengele
Kisaikolojia dislike inakera dokta๐คฃHiyo Like inakupa shi ngapi na Dislike inakupunguzia shi ngapi?
Kama like ni appreciation,kwanini niappreciate kitu ambacho hakijakaa sawa kwa mtazamo wangu?Tukubali tu kwamba maoni au mitazamo yetu sio lazima ilingane au ikubaliane na Ile ya wengine.Hivyo ni mhimu dislike iwepo.like ni appreciation we makaleo
Sasa wewe dume zima na ndevu zenye mvi unajinyorodesha kutaka like kwa wanaume wenzio, wakikwambia wakupakate wakupe like utakataa kweli wewe [emoji119][emoji23][emoji23]unaswaga za kutaka hela mda wote we mdangalaji unadhan utapata [emoji7] hapa JF?
Sisi wa App hatuioni ujue, sie tunaona like like like hata kama lakini sio ya kufungulia uzi bhanaKisaikolojia dislike inakera dokta[emoji1787]
Unamsagia kunguni