Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahahaaaakwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe 👎
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani😅😅😅
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍
We ya kwako ni ipi?Kila mtu ana njia yake ya kutafuta umaarufu.
Shangaa na wee dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo Like inakupa shi ngapi na Dislike inakupunguzia shi ngapi?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣unaswaga za kutaka hela mda wote we mdangalaji unadhan utapata 😍 hapa JF?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahSasa wewe dume zima na ndevu zenye mvi unajinyorodesha kutaka like kwa wanaume wenzio, wakikwambia wakupakate wakupe like utakataa kweli wewe [emoji119][emoji23][emoji23]
acha roho mbaya mkuu
Sawa lkn inawezekana vip usikubaliane na kila mtu?Kama like ni appreciation,kwanini niappreciate kitu ambacho hakijakaa sawa kwa mtazamo wangu?Tukubali tu kwamba maoni au mitazamo yetu sio lazima ilingane au ikubaliane na Ile ya wengine.Hivyo ni mhimu dislike iwepo.
😂😂😂😂😂😂, Away iam on my way
ye34nbe mzee wa dislikeNavumilia ila zikifika dislike 20 natupia ignore list
Mkuu hii screen shot umefanyaje ? Siamin kama smu yako ni ndefu kiasi hikiMtoa Dislike maarufu kwa sasa hapa jfView attachment 2626176
Mkuu hii screen shot umefanyaje ? Siamin kama smu yako ni ndefu kiasi hiki