Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe kuntuKuna baadhi tunachukulia JF kama sehemu ya ku waste time lakini kuna wengine hii mitandao ya kijamii ndio maisha yao halisi.
Kuna mtu mwingine anakuwa hana thamani yeyote katika maisha yake kiasi kwamba akikaa bila kuingia mitandaoni hana interaction nyingine yeyote yenye tija katika maisha halisi.
Sasa basi watu wa hivi ili kujipa thamani, ndio utakuta wale wanaotukana watu bila sababu, kuna wale akiwashwa na mguu tu anaandika thread, kuna wale wa kulike kila comment, wa kucheka kila comment hata kama havichekeshi na kuna kama huyo jamaa kaja na mpya ya kudislike kila jambo. Nina yakini pasi na shaka jamaa hata hasomi comment, ana dislike tu kama vile awali alikuwa aki like tu; hii yote ili aongelewe tu.
Hakupata reception aliyodhamiria kwenye ku like sasa toka jana kaja kivingine kwa kudislike. Na kwa njia ya ajabu imepata muamko aliodhamiria maana limeongelewa (japo sitostaajabu ikiwa hizi thread za kulalamika hizo dislike zikawa zimetoka kwa huyo huyo anae dislike ili kuweka muamsho kwa kila anachokifanya kwa kutumia ID nyingine za kwake). Kuna waliokiri kabisa kuwa wanaanzisha thread na kuanza kujisifia wenyewe, kujitukana na kusuluhisha wenyewe kwa kutumia ID zao kadhaa.
Kuna mambo mawili, kwa yeyote anaeathirika na dislike kwenye comment yake basi hakika hana tofauti yeyote na huyo alie dislike, ni kwamba wote wanahitaji kutafakari mustakabali wa maisha yao, maana yanahuzunisha. Na kwa huyo anae dislike kila comment halkadhalika nae atafute japo hobby ya kupiga nyeto, inaweza ikampa faraja fulani kuliko kupoteza muda kwa dislike comment za kila mtu.
Najisikia vizuri kwakuwa msumari wa moto unakuwa umemuingia vilivyokwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe ๐
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani๐ ๐ ๐
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi๐
Yes let him beHahaa.
Hili jamaa bana linagawa dislike kama chungu.๐
Can we just take this as his swag and let him be?
๐๐๐๐
Kuna member alikuwa anagawa dislike hovyo nikamweka ignore list toka mwaka juzi. Kuna mwingine huwa anaquote comment ya kawaida kisha anaita mods, naye namsubiri nimtie shimoni.Navumilia ila zikifika dislike 20 natupia ignore list
Eti sister watu wana nongo sana alaf naewachezea akili nina 19 wao unakuta wana 30+ huko ila wanalialia tu hapa ๐คฃ๐คฃ๐คฃHahaa.
Hili jamaa bana linagawa dislike kama chungu.๐
Can we just take this as his swag and let him be?
๐๐๐๐
Nafurahi kukuona tena mrembo wa culture me [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah nilikua buzzy kidogo na majukumu, ila now nipoo sanaa.
Freedom of expressionkwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe ๐
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani๐ ๐ ๐
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi๐
Ofcourse.Yes
Yes let him be
Hahahahahaaaa๐๐๐๐๐kuwaita viongozi anajiona kekii! Haya ndo yale matoto ukiligusa tu 'babaaa'
Una miaka 19 wapi wewe mzee, hivi kwanini wanaume wa siku hizi mnadeka deka na kujifanya watoto sana!? ni kukimbia majukumu?Eti sister watu wana nongo sana alaf naewachezea akili nina 19 wao unakuta wana 30+ huko ila wanalialia tu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sahihi kubishana na mshamba huonyesha hali wote ushamba wenu ulivyo๐๐๐Hahaa.
Hili jamaa bana linagawa dislike kama chungu.๐
Can we just take this as his swag and let him be?
๐๐๐๐
alafu hili jamaa linaangalia sura, koote kaweka dislike, kwenye comment ya Mshana limeogopa kudislike[emoji38]Najisikia vizuri kwakuwa msumari wa moto unakuwa umemuingia vilivyo
zamani gani๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
uzi ushabadirika
Tumia browser utaiona Public EnemyNimetoka Ku update app hapa Ila Bado sioni Dislike. Au Ni Kwa Vifaa vyenye uwezo upi??
Nina 43 mkuu, nisamehe nimekosa mimi nimekosa ila mimi sio naniliiiUna miaka 19 wapi wewe mzee, hivi kwanini wanaume wa siku hizi mnadeka deka na kujifanya watoto sana!? ni kukimbia majukumu?