akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,179
- 1,794
Najisikia ujumbe umefika barabara na imemchoma kunako nilikotaka.kwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe 👎
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani😅😅😅
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍