IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Hahahahaaaa😂😂😂😂 kweli don’t take it personal kwa kweli....Yupo mwamba sahz kala ban😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaa😂😂😂😂 kweli don’t take it personal kwa kweli....Yupo mwamba sahz kala ban😀😀
huenda ni id(s) za mtu yule yulesiyo kwamba kitimoto ndiye muanzilishi ?
Ni huyu ye34nbe sasa amebadili ID ingine ile ilikula life banKuna jamaa alikua na huu mchezo I'd yake nimeishahau ila hakuchukua round 😀😀 Akala ban
Mkichoka chukueni na gongo kabisa mnywe kujipoza nitakuja kuwalipia maana kazi mnayoifanya ni kubwa mno. 😎Ni mtu 1 mkuu, wala sio wengi
Mkuu mi simo😃Mvaa Kobazi na ameanza kuugua taratibu hii corona ya dislikes ni fiver ya ajabu sana😂😂😂😂
Ni huyo huyo kitimotoMvaa Kobazi na ameanza kuugua taratibu hii corona ya dislikes ni fiver ya ajabu sana😂😂😂😂
Na leo anashindia kazi hiyohiyo kwa kila mchangiajialafu hili jamaa linaangalia sura, koote kaweka dislike, kwenye comment ya Mshana limeogopa kudislike[emoji38]
kazi kweli kweli! Mimi huwa sina muda wa kureact like/dislike mimi nasoma maoni na kupita tu..Na leo anashindia kazi hiyohiyo kwa kila mchangiaji
Nina mashaka na huyo kiumbe
A man of people 😁 now this's sarcasticraraa reree is a man of people
DISLIKE maana yake CHUMA KIMEGONGA MFUPA!kwa kweli mi huwa najihoji mara 2 tatu why nipewe 👎
Kuna member kaibuka hapa yeye kila post abagawa Dislike tu sijui roho yake imekaaje kaaje humo ndani😅😅😅
Karibuni kwa Hoja na Love za kutosha mwenzenu nifurahi😍