Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Iwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍 🤣 😡au hata dislikes👎
Wajisikiaje?
Wajisikiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NumbisaSafi na burudani kabisa ila wa dislike akiniwekea kuanzia tano namtupia ignore list nyambafu Zak even
Zimebaki nne 🤣🤣🤣Safi na burudani kabisa ila wa dislike akiniwekea kuanzia tano namtupia ignore list nyambafu zake
Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁Safi na burudani kabisa ila wa dislike akiniwekea kuanzia tano namtupia ignore list nyambafu zake
🤣🤣🤣Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Mimi hata sijui namna ya kuwaangalia wala kuwafungulia nasitaki kujifunza.Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Wala sio kushuka moyo mkuu , unakuta mtu ana msongo wake wa mawazo anataka kukuletea na wewe njia rahisi ni ku mu ignore tu.🤣🤣🤣
Yaani watu ni wepesi sana kushuka moyo
Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Kubabek Numbisa umejambaSafi na burudani kabisa ila wa dislike akiniwekea kuanzia tano namtupia ignore list nyambafu zake
Nitakufikia soonKwangu ignored 85 nyuzi 0
Punguza kujamba mtu wangu umekua unajamba sana siaku hizi unakula maziwa mgando?Kwangu ignored 85 nyuzi 0
Punguza kujamba mtu wangu umekua unajamba sana siaku hizi unakula maziwa mgando?Kwangu ignored 85 nyuzi 0
Duh watu mpo serious sana aisee!Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Asante sana mkuu ila pia kingine sina mtu nimemuweka ignore tangu nijiunge JF yaan mimi ndio nina zero ignore not yaan sijaignore na sijatupwa ignore ila ban nishatembezewa mara kadhaa kwa sababu za kipuuzi, sorry Mods imebidi niseme ya moyoniHongera.
Siwezi ku ignore mtu mimi ila watu wengi kutokana na mikazo ya maisha hawapendi kuona au kusikia mambo wasiyoyapendaWala sio kushuka moyo mkuu , unakuta mtu ana msongo wake wa mawazo anataka kukuletea na wewe njia rahisi ni ku mu ignore tu.