min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !Siwezi ku ignore mtu mimi ila watu wengi kutokana na mikazo ya maisha hawapendi kuona au kusikia mambo wasiyoyapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !Siwezi ku ignore mtu mimi ila watu wengi kutokana na mikazo ya maisha hawapendi kuona au kusikia mambo wasiyoyapenda
😀😀😀Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !
Ni kuipiga tu nusu kaputi hakuna namna.😀😀😀
Kuna namba ina mitusi kama yote
Haina haja Mkuu ndivyo walivyo raia 😃😃😃Ni kuipiga tu nusu kaputi hakuna namna.
😁😁😁Haina haja Mkuu ndivyo walivyo raia 😃😃😃
Una moyo mdogo🤣🤣🤣🤣Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Nimejicheka hapo nilipoignore mpaka threadsUna moyo mdogo🤣🤣🤣🤣
Kwa nini🤣?Aiseee nimeangalia kwenye ignoring nimemkuta Mshangazi, Bachelor na Chief God love 😃😃😃
Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁Nimejicheka hapo nilipoignore mpaka threads
Kawaida unless kama ningeweza kuzibadilisha kuwa pesa kama ilivyo kwa Youtube views hata sponsored ads ningefanyia post zangu aiseeIwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍🤣 au dislikes😡
Wajisikiaje?
Mkuu emb naomba nielekeze namna ya kupiga misumari, kuna watu sitaki kuwaona.Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Mkuu emb naomba nielekeze namna ya kupiga misumari, kuna watu sitaki kuwaona.
😳he kumbe kuna minyukano humu?Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁
Dah 😀😀😀Kwa nini🤣?