Unajisikiaje unapopata reactions za wadau kwa ulichopost?

Unajisikiaje unapopata reactions za wadau kwa ulichopost?

Yule nae sijui mshangazi alivamia jukwaa akawa anafosi sana umaarufu ,muache hukohuko kapuni
Umaarufu mtandaoni hauji kwa kufosi kwa kujifanya unavamia vamia kila Member huku ukifosi upewe attention na uongelewe.

Kuna Lucas Mwashambwa anajua kusepa na kijiji aisee na halafu hana time na raia akianzisha uzi ndani ya dk chache tu unakuta una replies zaidi ya 200 🤣🤣🤣
 
Wee kumbe hujawahi kukutana nayo yaani huwa kunanuka humu hadi watu wanakula ban au nyuzi zinafutwa....kuna kiongozi wa kundi la waasi wa HAMAS anaitwa Lamomy huyo moto wake ni wa Los Angeles 😅😅
😹😹😹😹 Yeaahhh..!!
Yani Ismail Haniyeh alivyokufa tu kundi kaniachia ss hivi lipo chini yangu..!!
 
Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Tatizo JF mnaichukulia serious Mangi 😹😹
Sijawahi ignore member yoyote na uzuri hata walioni-ignore sometimes wananimiss wananichungulia 🤣
Nawapa pole wanajitesa tyuuu.!!
 
Back
Top Bottom