Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
NAKAZIA.Sio huwajui sema hamjuani 😹😹
Sasa presha za nini?? We adui unayemmudu usimuignore mpelekee moto🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIA.Sio huwajui sema hamjuani 😹😹
Sasa presha za nini?? We adui unayemmudu usimuignore mpelekee moto🤣
Ndio 😹😹Kwa hiyo umeshaapishwa rasmi😂?
Sina mapafu ya kupambana vita ya maneno, hayo yana wenyeweSio huwajui sema hamjuani 😹😹
Sasa presha za nini?? We adui unayemmudu usimuignore mpelekee moto🤣
Lolote kati ya uliyoyataja hapo 👆 👆 huwa nafurahia kwa sababu huyo aliyetoa response kwanza ametumia muda wake wa thamani kubwa kusoma nilichoandika hata kama ni pumba na ameuthamini pia muda wangu niliotumia kuandika nilichoandika na ameonesha kanitambua miongoni mwa wengi waliosoma lakini wakapita hv hata sijui wamefurahi ,wamechukia au vp.Iwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍 🤣 😡au hata dislikes👎
Wajisikiaje?
Hapo kama nakuona unasubiri mtoto Autake,umpatie😂Ndio 😹😹
Nishaanza kupanga na vikosi vyangu vya mashambulizi 🤣
Ni muhimu na ni jambo la maana sana kushukuru na kufurahia reactions za aina zote kwasabb ndicho kila moja anachofikiria kureact kwa uhuru na haki 🐒Iwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍 🤣 😡au hata dislikes👎
Wajisikiaje?
Mtoto kauta.. mtoto kautaakaHapo kama nakuona unasubiri mtoto Autake,umpatie😂
Mtoto kauta..!Mtoto kauta.. mtoto kautaaka
Huyooooooo mtotooooo 😹😹😹
Duu! Take it easy! Hiyo namba ni kubwa sana. Isije ikawa wewe mwenyewe ndiye changamoto 😅Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Naona unakula likes tyuu.!! 😹😹Mtoto kauta..!
🤣🤣🤣🤣mimi kama shemeji nasemajeeee asikae kizembee...halafu hata kipenzi wangu wa Chugastan nae kapotea yaani hawamtendei haki shemelaNaona unakula likes tyuu.!! 😹😹
Shangazi sijui kapotelea wapi? Shem anatia huruma kweli 😜
Kuna wakati naingia front pages ni habari moja tu kama kile kipindi cha pdidy, kila muda nyuzi za pdidy basi naziignore tu.Duu! Take it easy! Hiyo namba ni kubwa sana. Isije ikawa wewe mwenyewe ndiye changamoto 😅
Duu! 85? Hii ni kiboko! Tujifunze kuvumiliana ndugu mwana JFKwangu ignored 85 nyuzi 0
Shem anatafutiza chochote kitu 😹😹🤣🤣🤣🤣mimi kama shemeji nasemajeeee asikae kizembee...halafu hata kipenzi wangu wa Chugastan nae kapotea yaani hawamtendei haki shemela
Mi nime ignore 5,878!!Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Nitakufikia tu sababu umenizidi miaka 16 jfMi nime ignore 5,878!!
Nimetisha. Nadhani kwenye hilo naongoza 🤣.
🤣🤣Umeanza uchokozi?unakunywa ule mdude wako nini?Shem anatafutiza chochote kitu 😹😹
🤣Nitakufikia tu sababu umenizidi miaka 16 jf
Wengine uliowaignore usikute wameshakufa