Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😹😹😹 Unamuhamishia uwanja wa mapambano..!!Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 Unamuhamishia uwanja wa mapambano..!!Ndio maana nimecheka,mimi nawapenda wale wanajikutaga wakorofi,nahama nao mitaa naendeleza mapambano...😁😁
Nginja nginja zako sio za kitoto 🤣🤣🤣Kuna kipindi niliacha waungwana wakaanza kunichokoza 😹😹😹
Nikagundua hawa kumbe wanapenda wenyewe..!!
Manyanza ake 😻
Tatizo watu wanapenda kusifiwa hata km ujinga..!! 😹Unapoanzisha uzi tarajia comments za aina zote...then usitake serious...hapo unakuwa umetoboa
Ubunge hata Mimi nausakaWatu wako serious km wanatafuta ndoa au jimbo la ubunge 😹😹😹
Usifikie huko unaemuona mkorofi humu leo yawezekana kesho akakupa mawazo yenye kukutoa sehemu moja kwenda nyingine.Waweke tu option ya moja kwa moja kama ukiblock mtu huoni kingine chochote kuhusu yeye
Tatizo huku hakuna wa kukupigia kura tupo viroboti 😹😹Ubunge hata Mimi nausaka
Ndio hapo huwa naonaga members humu wanakuwaga Wana mambo ya kiwaki. Kuna member (Numbisa) kaandika ukim dislike mara5 anakuwa ignore Nimesha dislike mara 1 bado mara 4. 🤣🤣🤣Tatizo watu wanapenda kusifiwa hata km ujinga..!! 😹
Chama cha watoa comment tuko vizuri, hatucheki na yoyote 🤣
Ngoja nikupe nawe moja zibaki tatu😹😹Zimebaki nne 🤣🤣🤣
😹😹😹 Ignore za JF mi nazipenda mnoooo.!!Ndio hapo huwa naonaga members humu wanakuwaga Wana mambo ya kiwaki. Kuna member (Numbisa) kaandika ukim dislike mara5 anakuwa ignore Nimesha dislike mara 1 bado mara 4. 🤣🤣🤣
Sema tu 😁Au basi 😹
Wapo sema siwajuiTatizo huku hakuna wa kukupigia kura tupo viroboti 😹😹
😄 toka nimejua humu kuna mpaka vitoto vyangu vinatukana wazee navitupia humo tu😆Tatizo JF mnaichukulia serious Mangi 😹😹
Sijawahi ignore member yoyote na uzuri hata walioni-ignore sometimes wananimiss wananichungulia 🤣
Nawapa pole wanajitesa tyuuu.!!
Humu unaweza kuta hata uncle wangu alinitongoza piem 😹😹😄 toka nimejua humu kuna mpaka vitoto vyangu vinatukana wazee navitupia humo tu😆
Waombe jf waitoe hiyo option ipo ili itumike bwasheeKwani hizi id mnazotumia ni majina yenu halisi? Mbona mwafikia hatua ya kuignore?
Sio huwajui sema hamjuani 😹😹Wapo sema siwajui
Leo nimeamka na roho mtakatifu 😹😹Sema tu 😁
Unakuta hata sijachukia , ila bangi zangu zina allergy na matusi tu😁Humu unaweza kuta hata uncle wangu alinitongoza piem 😹😹
Sasa ndo uchukie kweli kwa watu wenye fake id’s hamjuani?? 🤣
Kwa hiyo umeshaapishwa rasmi😂?😹😹😹😹 Yeaahhh..!!
Yani Ismail Haniyeh alivyokufa tu kundi kaniachia ss hivi lipo chini yangu..!!