Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Jäegermeister 😹😹🤣🤣Umeanza uchokozi?unakunywa ule dude wako nini?
Uzuri wa shem yeye km simba akikosa nyama anakula zake majani tabu ya nini?? 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jäegermeister 😹😹🤣🤣Umeanza uchokozi?unakunywa ule dude wako nini?
Iwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍 🤣 😡au hata dislikes👎
Wajisikiaje?
Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
🤣🤣🤣🤣🤣anakuzoom tu ujue!ngoja akamwambie nyampala ukaswekwe luJäegermeister 😹😹
Uzuri wa shem yeye km simba akikosa nyama anakula zake majani tabu ya nini?? 🤣
😹😹😹 Ana kitu kimemkaba ila km samaki baharini machozi yake yanaondoka na maji..!!!🤣🤣🤣🤣🤣anakuzoom tu ujue!ngoja akamwambie nyampala ukaswekwe lumande
Sema nini!ni cool dude hana shida bhana😅😹😹😹 Ana kitu kimemkaba ila km samaki baharini machozi yake yanaondoka na maji..!!!
Heeehiyaaaaa..!! Rohoooooniiiii
Ahiiiiiiiii wewe, jamani mi naogopa 🤣
Vibaya mno, huyo anajua kucheza na ile principle ya kula nyamaza..!! 😹😹Sema nini!ni cool dude hana shida bhana😅
Tatizo lao wanaliwa wao halafu wanataka washindane wao🤣🤣🤣Vibaya mno, huyo anajua kucheza na ile principle ya kula nyamaza..!! 😹😹
Ila kaitafuna mitumbua uongo mbaya sis, huyo ni G.O.A.T wa mbususu wa muda wote..!!
Watu mpk wamebadili id famchezo 🤣
Wanamgombea sponsor chezea ndalama weyee 😹😹Tatizo lao wanaliwa wao halafu wanataka washindane wao🤣🤣🤣
Wacha weeeee!sponsor kumbe hana baya?Wanamgombea sponsor chezea ndalama weyee 😹😹
Nasikia shem anamwaga mapene wadada wanaglow kwa vibunda..!!
Hiko ndo kinawafanya wanapigana vikumbo 😹😹Wacha weeeee!sponsor kumbe hana baya?
Aloooooh hadi ajira,😋😋😋...Kweli shemela ana haki ya kugombaniwa maana wadada tunapenda mambo mazuri...ila kibanana alizidi tashtit🫣🤣Hiko ndo kinawafanya wanapigana vikumbo 😹😹
Sponsor mpk ajira anatoa ni wewe tu kujua kucheza midfielder bed to bed shuka lote lijikusanye katikati…. Aahh mbona sponsor atakuspoil mpk ububujikwe na machozi 🤣🤣🤣
Nitasutwa ngoja nikakojoe kwanza 😹🏃♀️🏃♀️
Kibnana domo lilimponza anaringia nyash, wenzie wale wa migombani indalama first ni mwendo wa bata tredi 😹😹😹Aloooooh hadi ajira,😋😋😋...Kweli shemela ana haki ya kugombaniwa maana wadada tunapenda mambo mazuri...ila kibanana alizidi tashtit🫣🤣
🤣🤣🤣Mnaulinda wenu moyooTatizo watu wanapenda kusifiwa hata km ujinga..!! 😹
Chama cha watoa comment tuko vizuri, hatucheki na yoyote 🤣
😹😹😹 Sie wengine viroboti hawawezi kutufolo…🤣🤣🤣Mnaulinda wenu moyoo
Wivuuu,wivu...wivu mamaa🎵🎶🎶
😂😂😂😂Daah una mambo mazito,jumamosi ntalipa jagermaster mimi ili ukilewa unipe ubuyu vizuriiKibnana domo lilimponza anaringia nyash, wenzie wale wa migombani indalama first ni mwendo wa bata tredi 😹😹😹
Kibanana kaja kushtukia game mwishoni kumbe odds zake chache km za Manchester kachaniwa mkeka alfajiri kabla Petro hajamkana Yesu… kaambulia manyoya na tumbua limelika bila malengo 🤣🤣🤣
Sponsor kaja kurudi hana chenji wadada wa migombani wamempurusa kachoka kachakaa… chenchi anazo ila sio km mwanzo nasikia hata kile kitengo kahamishwa cha mwanzo cha kujitoa km kisima cha maji ya uzima..!!
😹😹😹 Tatizo nikinywa pombe za bure natoa mpk ubuyu wangu, namwaga wote…!!😂😂😂😂Daah una mambo mazito,jumamosi ntalipa jagermaster mimi ili ukilewa unipe ubuyu vizurii
🤣🤣🤣🤣🙌😹😹😹 Sie wengine viroboti hawawezi kutufolo…
😆😆Watu huwa hata hawajui wanalikes nini.
Kuna Siku Samson Charles Mtangazaji wa EATV alipost Picha akiwa na Marehemu Glory(enzi za uhai) ,sasa kuna baadhi ya watu walianza kumsifia kwamba ana mke mzuri na pale kwenye caption ameandika kabisa maneno ya kama kumuaga rafiki yake...Namaanisha watu huwa hawasomi wao wanalike na kucomment bila hata kutafakari kilichoandikwa.