Sasa je,nidondosheee linamba kule PMAsante
💯kimya ni jibu
Rafiki yanguKuna mwingine angekuuliza... Kwani ana Figo yako? Ila mimi sioni kama nikuulize hivyo maana sio swali zuri..
Mwingine labda angetaka kufahamu kwani huyo mtu ni nani yako yaani mna mahusiano gani🤔... Huyu hata mimi namuunga mkono
Pole mama! Jisogeze piemuni kwangu nikuoneshe mambo makuu usiyoyafahamuNishalizwa
Mimi nisaidie apa kwanza.Kumblue tick ndo kufanyaje?Et jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia
Anatafakari cha kukujibu asikuudhi, na hivyo inaweza chukua hadi siku mbili ndio akujibu. Jitahidi kuwa mstahimilivuEt jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia