cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiachwa inabidi uachike tu kulia hakusaidii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiachwa inabidi uachike tu kulia hakusaidii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najuaga mdada, hilo jina sasa lolMi sio dada[emoji3][emoji3]
hujambo we dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najuaga mdada, hilo jina sasa lol
mambo ya kumlilia mtu kweli yani ukiona mtu analialia ujue yupo kwenye ndoa au bado mdogo otherwise huwezi endeshwa na mapenzi eti ananibluetick usimtafute tenaHizo mambo nimezisahau long tym ago...
😂😂😂Kuna lishibombo moja nilikua naliona lina akili mara ghafla nashangaa ujumbe eti " Na penzi letu kama summa na ulinzi kama summa'.Sijajibu mpaka leo .Niliona nadeal na box hapa.
Wacha nongwa, si mpigie mwenyewe. Si lazima mtu ajibu kila msg. Msg zingine ni za information tu siyo za kujibiwa, na hizo blue tick zinakuonesha ujumbe umefika. Unataka nini zaidi?Et jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia
Yeah, hiyo ni mbaya.Et jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia
Huyu ni Mwanaume mazee,Siku mkigundua huyu mwamba ni mwanaume mda utakuwa umeenda sana.
Et jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia
Mmh! Inategemea, binafsi nachukulia kawaidaEt jaman mtu unamtumia txt anaku blue tik anakaa kimya unamchukuliaje? Sipendezewi na hii tabia