Iko poa tatizo inapatikana kupitia T pesa tuMe tayari nishawahama nimerudi nyumbani Ttcl TamTam buku 1.2GB kwa week
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko poa tatizo inapatikana kupitia T pesa tuMe tayari nishawahama nimerudi nyumbani Ttcl TamTam buku 1.2GB kwa week
Wamepunguza, sasa unapata 45dk mitandao yote na 500mb siku tatuBuku napata 100dk mitandao yote na 1GB siku 3.
Kiroho safi tigo hao..
Lini tena?Wamepunguza, sasa unapata 45dk mitandao yote na 500mb siku tatu
Sanaa, sema network yao sio makini sanaaIko poa tatizo inapatikana kupitia T pesa tu
Me napata week chief!5days not week
Lini tena?
Ni siku ya tatu sasa naona hayo mabadiliko kwenye vifurushi mpaka nafikiria kuwahamaLini tena?
Hizo nyingine zimekatwa kulipia kodi ya jengo, utakuwa ulikuwa nje ya nchi.Yamenikuta Leo wakati najiunga TIGO. Mnunulie rafiki yako , elf 20 wameandika utapata 10GB kwa mwezi. Nimejitosa kununua nimeambulia kupata 6.5GB kwa mwezi.
Najuta kwa haya maamuzi niliyoyafanya
Sms 36,000! Nitajiunga sasa hivi, hii nitaitumia kama fursa.vifurushi vya halotel vya 200 kwa siku mb 100.alaf napewa ofa ya gb 2.nikijiunga mitandao yote kwa 200 napewa ofa dakika 700 buree.nikijiunga siku bando la sms la sh 50.napewa ofa sms 36,000.ila ni ndani ya saa 24
Buku napata 100dk mitandao yote na 1GB siku 3.
Kiroho safi tigo hao..
Aloo twende wapi sisi wanyonge[emoji28][emoji28]Ni siku ya tatu sasa naona hayo mabadiliko kwenye vifurushi mpaka nafikiria kuwahama
Wanakupendelea sanaView attachment 1959930
Hawa Voda
Speed yake ikoje?Halotel 4G hiyo elfu 20 unapata GB 20 saafiii