Unajua kuwa Tanzania Haina Admiral wa Navy?

Unajua kuwa Tanzania Haina Admiral wa Navy?

Navy army ....kwa Tanzania ndio tunakua taratibu maana uwanha mpana sana wenye tech kubwa sana....muda utaongea nasi tunaenda taratibu....asante china kutufumbua uelewa kwenye navy kwa ujumla...na jeshi anga oia....plus urusi....
To correct you ni navy command, hatuna navy army
 
Karl Donitz
1000320797.jpg
 
Sahihi. Hata Israel the highest military rank I mean Mkuu wa Majeshi ni Lieutenant General. Najaribu kuwaza CDF akikutana na yule wa Israel equivalent inakuwaje? Ufafanuzi tafadhali.
NATO sababu majeshi yao yana doctrines tofauti basi wao wana grades za STANAG na wanazitumia jeshi lolote duniani.
Kila cheo cha jeshi kinawekwa kwenye level, mfano North Korea wana doctrine tofauti sana na duniani kote, Urusi ina utofauti hasa kwenye Navy, Finland wana emphasis kwenye artillery hivyo si ajabu kukuta mkuu wao wa artillery and rocket forces ana cheo kikubwa kuliko wa nchi nyinginezo.

NATO mkanganyiko huu wanajua kuuweka sawa.
 
Wakipunguza vyeo watatawala kwa shida sana. Wanahitaji hivyo vyeo ili kuwapooza washiriki wao.
Tunahitaji overall review ya vyeo na output yake vs mishahara na marupulupu yake.

Tukiendelea hivi hatuta kwenda kwa ka nchi kadogo hivi.

Watawala weengi mishahara na huduma za bure kwao nyiingi, tutafika wapi, mwisho tutaanza kukopa kuwalipa mishahara na huduma za bure wapatazo kwa jasho letu.
 
Kijeshi, Admiral wa Navy ni cheo sawa na General wa Army. Muundo wetu sasa hivi unataka kuwepo na General mmoja tu kwenye TPDF ambaye ndiye CDF. Hiyo inakinzana sana na muundo wa jeshi zima, kwani vyeo vya Navy viko juu sana ya vyeo vya Army. Kwa mfano Captain wa Army ni sawa Lieutnant wa Navy, na Captain wa Navy ni sawa na Colonel wa Army, ndiyo maana Captain wa Navy ainaitwa Navy Captain, siyo Captain tu. Lt General wa Army ni sawa kabisa na Vice Admiral wa navy. Sasa hapo ndipo kuna tatizo; ingawa jeshi linaweza kuwa na Lt Generals kadhaa, lakini cheo hiki ni special kwa ajili ya COS; maluteni generals wengine ni wale waliopandishwa cheo wakati mmoja na COS aliyepo madarakani au kabla yake, na hali hii huwa inatokea mara chache sana kwani mara nyingi sana maluteni general hao waliokuwapo ama hustaafishwa au hupelekwa ubalozini haraka sana kabla ya COS mpya kuanza kazi. Sasa kwa mfumo huo jeshi letu la Navy linakuwa na ugumu sana wa kupata Admiral na Vice Adrmiral; kwa maana mkuu wa Navy la Navy Tanzania atakuwa ni Rear Admiral ambaye ana cheo sawa na Major Ganeral au Brigadier General, hawezi kuwa Vice Admiral au Admiral.
Mkuu mi ningependa kujua kwanini CoS wengi hawaji kuwa majenerali mfano Mzuri ni Yule aliyeongoza mapambano ya M23 nilimtegemea Sana lakini hakuwa then huyo aliyetoka Yaani Lt Gen Mkingule Naye hajawa pia kwanini inakuwa hivyo
 
U aafikiri kule TMA wanaumuhimu gani kila siku wanateuana na kupandishana vyeo ambavo kimsingi kwa nchi yetu ni kuitia tu hasara kila mwaka raisi anavisha nishani makamanda wapya hv kaz ya kulinda mipaka kila siku kupeana vyeo vipya as if kuna dawa mpya inavumbuliwa na itatumika dunia nzima mm naona hii taasis ina mambo ya hovyo kupeana tu oesa za nch hovyo hyo mbona vita vikitokea jukumu hua ni la kila raia why is iwe strictly la kwao tu kama ilivo kwa sector ya afya gonjwa likiingia ni la kwao tu wengine wanawangalia
Unalalamika Rais kuvisha nishani Halafu unaongelea hela sasa nishani na hela Vina mahusiano Gani?
 
Jinsi tech. Inavyosonga,mambo ya drones na mengine mengi,naiona infantry ikiishilia mbali
Infantry haiwezi kufa hata siku moja sema tu utendaji kimbinu zile formation za kimapigano hazitakuwa Kama zamani ila infantry ndio huwa tegemeo kuliko hata anga na majini ambako sahizi ni rahisi kudetect kuwa adui anakuingilia
 
Sawa ndiyo mipango yetu; Lakini ulikuwa unajua kuwa Navy ya Tanzania haina Admiral?
Kama mtaalam uliyepitia huko, unaweza pia kutuambia upungufu na hasara ya kutokuwa na huyo admiral. Pia utoe majibu kama inawezekana kwamba tuna vifaa vya kutosha japo ninadhani hizi zaweza kuwa Siri za kijeshi.
 
Nafikiri ukubwa wa jeshi la majini na wingi wa meli za kivita ndio zinafanya apatikane Admiral
Sasa sijui tuna meli ngapi za jeshi na tunaenda mpaka mipaka ya wapi na meli zetu
 
Kama wewe ni mwanajeshi ama ni mtu tu unayeelewa mambo ya kijeshi, basi kuna kitu haukielewi sawa sawa.

Kabla ya mabadiliko ya mfumo wa vyeo vya jeshi la Navy miaka ya karibuni, kamandi za majeshi yote zilitumia vyeo vyenye kufanana, yaani vya Army.

Lakini vyeo vya Navy vilipobadilishwa, kuna barua nadhifu ilitolewa kufafanua kila cheo kulinganishwa na vyeo vya Army/Air force.

Kwa hiyo kila cheo cha afisa ama askari wa Navy kina ulinganifu wa cheo cha afisa ama askari wa Army/Air force na equivalent rank huwa haizidi cheo inacholingana nacho.

Chukulia mnapokutanishwa majeshi ya mataifa mbali mbali cha kwanza huwa ni kutafsiri equivalent ranks, yaani cheo hiki ni sawa na cheo kipi kwa jeshi jingine.

Tukija kwenye upandishwaji wa vyeo kutofikia cheo flani, hilo lipo wazi, vyeo vya jeshi hufuata muundo.

Hata mkuu wa majeshi aliyepo sasa, cheo alichonacho hakimstahili, alistahili cheo cha chini yake, kwa wajuzi wa mambo tunaona kama anavaa cheo cha kisiasa.

Jeshi kimuundo, ukishatoka Brigade, kuna Division, baada ya divisheni kuna corps na baada ya hapo kuna Army.

Uhalali wa vyeo kimuundo upo hivii: Brigade inaongozwa na Brigadier general, Division inaongozwa na major general, corp inaongozwa na Lutenant general na Army inaongozwa na General.

Hizi command za majeshi zilizopo Tz zina hadhi ya Divisions na viongozi wake ni major generals ambapo ni sawa.

Baada ya hapo kimuundo inafuata Corp ambapo jeshi letu ndiyo limekomea, na cheo kinachostahili ni Lutenant general na siyo General kama tukifuata muundo.

Kwa hiyo Cdf wa Jwtz alitakiwa awe Lt general.
Siasa kuziingiza kwenye majeshi hii 👆 ndio hasara yake ss. Yan army uilinganishe na Navy,

Tufanye kazi kwa ukweli na uwazi . angalia Israel Hawana 4 🌟 general army, unafikiri ni kwani, jeshi na usalama wa inchi Yao, hauendeshwi kwa utashi wa akili za menyekiti.

Jeshi la Israel Lina jukumu 1 TU nalo ni kulinda maslahi ya Israel basi na sio kulinda wanasiasa.

Ss huku tuna ngangana kuteua macdf huku wakiwa tayari wana magonjwa kisukari , presha
 
Kwangu mimi huku tuna makuruta tu kulingana na system ya kivita ya sasa.

Vita ya Sasa ni akili naa hesabu na jeshi dogo linalotumia nguvu ndogo na tunakoendea hata infantry itakuwa na robots + autonomous tankers huko angani full drones na missiles.

Kwasasa tunapaswa kujikita sana kuboresha mitaala ya shule huko chekechea, primary na secondary ili tuwe na watalaam wengi wa technolojia ili tuwe capable kwenye softwares, programing, kutengeneza military hardwares kwa speed, haraka, wingi nk.

Hizbollah, Hamas, IS nk wana askari shupavu, wavumilivu, wenye morally ya vita, nk lakini hawana vifaa vya kisasa kwa maana technolojia kama aliyonayo adui matokeo yake adui akiwa na askari 10000 wewe unahitaji askari milioni moja ambao wote ukiwa na fleet ya drones kadhaa na autonomous Hellicopter gun ship unawamaliza kama nzi vile.
Usilichukulie poa jeshi la wananchi, just because hawajionyeshi uko nje, haimaanishi wamestop ku develop. You have no idea nini kinaendelea ndani ya tpdf kwa sasa. Sisemi wako so advanced sana but wanaenda kwa pace yao, no advirtisement and just because ya technological advancement basi askari ana abandon basic principle za kuwa askari?

Look at ukraine? Bila kuwa na strong infantry guys ambao wata cover trenches meter by meter hata upewe robot 1M, huto succeseed.

Infantry ndio jeshi mama, uti wa mgongo wa jeshi lolote duniani. Sector zingine kama airforce na navy ni support brigades

Lakini kingine kuna budgetary issue, unakuwaje na advanced army wakati tu budgetary wise mnajibana?
Una expand military kapability on what budget?
 
Mkuu mi ningependa kujua kwanini CoS wengi hawaji kuwa majenerali mfano Mzuri ni Yule aliyeongoza mapambano ya M23 nilimtegemea Sana lakini hakuwa then huyo aliyetoka Yaani Lt Gen Mkingule Naye hajawa pia kwanini inakuwa hivyo
Inaonekana serikali haipendi kutabirika succession plan ya JWTZ na TISS. Hii ni kuondoa michezo ya kuwania vyeo na kutengeneza team. CoS anajua anamhitaji CDF, bila CDF CoS hamna na maofisa kadhaa wanabadilika. They are more likely kupendelea status quo iliyopo iendelee kuliko ibadilike wakati hawana uhakika na yajayo kama yatafurahisha.

Mara nyingi CoS anayeisha muda wake anakuwa amefika au anakaribia umri wa kustaafu jeshini, ukimfanya awe CDF anazidi sana umri wa utumishi.

Huyo aliyeongoza mapambano na M23 nadhani alistaafu kwa kuchelewa, hata kwenye mahojiano yake alikuwa anaoneakana.
 
Inaonekana serikali haipendi kutabirika succession plan ya JWTZ na TISS. Hii ni kuondoa michezo ya kuwania vyeo na kutengeneza team. CoS anajua anamhitaji CDF, bila CDF CoS hamna na maofisa kadhaa wanabadilika. They are more likely kupendelea status quo iliyopo iendelee kuliko ibadilike wakati hawana uhakika na yajayo kama yatafurahisha.

Mara nyingi CoS anayeisha muda wake anakuwa amefika au anakaribia umri wa kustaafu jeshini, ukimfanya awe CDF anazidi sana umri wa utumishi.

Huyo aliyeongoza mapambano na M23 nadhani alistaafu kwa kuchelewa, hata kwenye mahojiano yake alikuwa anaoneakana
Mbona inasemekana yeye mwenyewe ndio aliomba kustaafu
 
Kama mtaalam uliyepitia huko, unaweza pia kutuambia upungufu na hasara ya kutokuwa na huyo admiral. Pia utoe majibu kama inawezekana kwamba tuna vifaa vya kutosha japo ninadhani hizi zaweza kuwa Siri za kijeshi.
Umefurika bure. Post haisemi kuwa kuna faida au hasara bali ni kuonyesha kuwa Tanzania hatuna Admiral. Mbona Israel yenye jeshi active sana nayo haina hata rear admiral? Kwani hiyo ni shida?
 
Mkuu mi ningependa kujua kwanini CoS wengi hawaji kuwa majenerali mfano Mzuri ni Yule aliyeongoza mapambano ya M23 nilimtegemea Sana lakini hakuwa then huyo aliyetoka Yaani Lt Gen Mkingule Naye hajawa pia kwanini inakuwa hivyo
Davies Mwamnyange alikuwa CoS ndipo akawa General na CDF, hata Venance Mabeyo naye alianza kama CoS ndipo akawa General na CDF. General Mwakiborwa alifikia kuwa CoS wakati umri umeshaenda sana.
 
Back
Top Bottom