The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 306
Mburaaa! Jamaa kaelezea ila mihogo kasahau tunalima then tunalishia mbuzi katoliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mburaaa! Jamaa kaelezea ila mihogo kasahau tunalima then tunalishia mbuzi katoliki
...kule kwetu nimekuta kuna wachaga mpaka wanaingia ziwani kupiga kokoro!Hiyo ilikuwa zaman lkn c sasa, wanaruka nayo utasema wandengereco vile!!!
..kuulamba mwiko..usitukane wakunga wakati uzazi ungalipo..by bi kidudeNg'wale sio muhoga tu, ila MUHOGO WA JANG'OMBE
munakula sana ila mukiwa kilimanjalo hamli,mkifika dar munakula
Siku ukizungumzia Wajaluo usisahau kusema kuwa ndio Waafrika wa kwanza kuingia Ikulu ya Marekani, sawa?
sawa jaluoMnakula, sio munakula kenge wewe. Kiswahili chako kibovu mwisho Nangurukulu, ukifika Kibiti ongea lugha sawasawa, tumeelewana?
Ha ha haaaa! Hadi na mavumbi ya hilo eneo kung'uta kabisaa!Endapo utafika mahali waishipo BINADAMU Ukamkosa hapo MCHAGGA:Kimbia ufe hao siyo BinAdam
Katika majina hayo ya ukoo umesahau jina moja la ukoo wa - Mb*****roo
Katika majina hayo ya ukoo umesahau jina moja la ukoo wa - Mb*****roo
duu umeionna eee! infact ni karesearch flani ka tutaka kujua wachaga ni wangapi ndani ya jamii maana the whole page point ni hawali muhogo kisa sumu?!!!!!!!!!!!Kufikia April mwaka huu kilimanjaro ilikuwa na shule 320, dah unatumia calendar ya wapi nihamie huko?