Unajua mapishi ya samaki pweza????

Unajua mapishi ya samaki pweza????

Hahahahaha lol niolewe mara ngapi?

Btw MziziMkavu ni kaka yangu mwenyewe nampenda sana tu
Mwambie huyo TUKUTUKU hajuwi kuwa wewe ni mdogo wangu. Sasa hivi nimetoka kula supu ya pweza sasa ninakula Pweza inakaribia wiki. Sipendi kuku wa kutengenezwa kwa mashine huku kwetu kuku ndio chakula kikuu kuliko wanyama wengine nimesha choka kula makuku feki ninakula Samaki Pweza karibuni wote.
 
Mwambie huyo TUKUTUKU hajuwi kuwa wewe ni mdogo wangu. Sasa hivi nimetoka kula supu ya pweza sasa ninakula Pweza inakaribia wiki. Sipendi kuku wa kutengenezwa kwa mashine huku kwetu kuku ndio chakula kikuu kuliko wanyama wengine nimesha choka kula makuku feki ninakula Samaki Pweza karibuni wote.
Asante sana mkuu MziziMkavu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom