Mhhhh!!! nishahisi weye unataka kula kitoweo tu lol!!!! Ugali hutagusa hata tonge moja.
Ntakula bana wee usijali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhh!!! nishahisi weye unataka kula kitoweo tu lol!!!! Ugali hutagusa hata tonge moja.
Samahani kulikuwa na typing error!nilichokuwa nauliza ni kwamba shemeji yangu unayeishi naye anajua mapishi kama ya kaka yangu MziziMkavu?Sijaelewa
Mwambie huyo TUKUTUKU hajuwi kuwa wewe ni mdogo wangu. Sasa hivi nimetoka kula supu ya pweza sasa ninakula Pweza inakaribia wiki. Sipendi kuku wa kutengenezwa kwa mashine huku kwetu kuku ndio chakula kikuu kuliko wanyama wengine nimesha choka kula makuku feki ninakula Samaki Pweza karibuni wote.
Samahani kulikuwa na typing error!nilichokuwa nauliza ni kwamba shemeji yangu unayeishi naye anajua mapishi kama ya kaka yangu MziziMkavu?
Asante sana mkuu MziziMkavu!Mwambie huyo TUKUTUKU hajuwi kuwa wewe ni mdogo wangu. Sasa hivi nimetoka kula supu ya pweza sasa ninakula Pweza inakaribia wiki. Sipendi kuku wa kutengenezwa kwa mashine huku kwetu kuku ndio chakula kikuu kuliko wanyama wengine nimesha choka kula makuku feki ninakula Samaki Pweza karibuni wote.
Hongera sana kwani Mungu amekujalia!Mpishi mzuri sana tu....
Hongera sana kwani Mungu amekujalia!