Kasome ishu ya Entropy na Second law of Thermodynamics.Haina mwisho, yani always kuna namba kubwa zaidi mbele...Mfano hizi namba 1, 2, 3, 4 hazina mwisho...Maana hata ukisema ya mwisho ni 100000000000000000000000000000000000 mimi ntakuambia ongezea moja hapo na bado itaendelea tu.
Aliye tuwekea hii imani ndani ya mioyo yetu ni nani??Exactly reference ambayo ni Word of GOD ndio imenifanya niamini kwamba....Mungu hajataka tujue .......
Tofauti ya mimi na wewe , wewe huamini NENO ndio Maana Huamini MUNGU , mimi NAAMINI neno NDIO maana naamini Mungu
GOD IS WORD na WORD is GOD, I
John 1:1 , in the beginning there was the WORD and the Word was with God and the WORD was GOD...
IMANI ni kusadiki bila kuthibitisha bila kuona so ukiona neno ... ndio tafsiri YA imani inatosha huitaji kuthibitisha neno la MUNGU
NO FAITH, NO GOD, NO WORD , NO GOD
Hayo yote ni Mambo ya kufikirikaUsingekuwepo usingeona sikia kuhusu uwepo wa nyumba za Ibada, waganga,wachawi,
Ina maana hata majengo,vilinge, nyumba za Ibada ujawahi zionaHayo yote ni Mambo ya kufikirika
Jibu ni sijui.Jibu swali nililokuuliza.
Sawa hili jambo naona liishe sasa...Nimeshakuambia msimamo wangu. Siwezi kuzitukana Neurones zangu zinazotumia ATP nyingi kubishana mambo kama haya.Hii ndiyo shida ya kujadili mambo na mashabiki wa Sayansi. Mimi. Naishi katika Sayansi sababu ni mtu wa hayo mambo.
Kama wapo Wanasayansi au hata Wahandisi unao waamini walete nijadili ane nao, sababu hao wanaishi humo. Huenda tukaelewana nao.
Em nitajie namba ya mwisho ni ngapi, mimi ntakuambia ijumlishe na 1Kasome ishu ya Entropy na Second law of Thermodynamics.
Unajua kwanza maana ya Infinity kijana ? Isiwe unajadili tu, katika hesabu hakuna kisicho mwisho.
Mwisho wake hizo namba ni wapi na kama hazina mwisho umejuaje hazina mwisho ?
Kingine uwe unajibu maswali ninayo uuliza.
Sasa unajadili vipi jambo ambalo hulijui ?Jibu ni sijui.
Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza.Em nitajie namba ya mwisho ni ngapi, mimi ntakuambia ijumlishe na 1
Shukrani.Sawa hili jambo naona liishe sasa...Nimeshakuambia msimamo wangu. Siwezi kuzitukana Neurones zangu zinazotumia ATP nyingi kubishana mambo kama haya.
mungu ni mawazo yako acha kumtishaKijana unatikisa mbuyu umejikuta unatikisa makalio yako mwenyewe.
Hata kama huamini achana na hilo DUDE linaloitwa MUNGU. Lipo nje ya uwezo wako kulielewa.
tafuta muda wa peke yako, uyaangalie mazingira yako milima na mabonde, nyota angani, wanyama, samaki, wadudu, ndege, n.k (angalia usiku na muda wa mchana)
Utaanza taratibu kugundua kuwa kumuamini MUNGU inahitaji kuuvua huo ujuaji wako.
tuliza akili kijana!
Nataraji kujifunza kwa maswali.Sasa unajadili vipi jambo ambalo hulijui ?
Swali gani hujajibiwa?Mpaka najiuliza kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza.
๐ฎ๐ถ๐ซ ๐๐ ๐ฌ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Kuna kujadili na kuuliza maswali, wewe unajadili kama vile unalo lijadili una Elimu naloz hapa ndipo tatizo linapo anzia.Nataraji kujifunza kwa maswali.
Soma post namba 421.Swali gani hujajibiwa?
Trust me, elimu haina mwisho na hata wewe haujui kila kitu kuhusu unayojadili.Kuna kujadili na kuuliza maswali, wewe unajadili kama vile unalo lijadili una Elimu naloz hapa ndipo tatizo linapo anzia.
Hili nshakujibu. Nshakuambia mfano wa series za namba 1, 2, 3, 4...hazina mwisho kwasababu unaweza ukaendelea kuongezea Moja mbele milele na milele na usifike mwisho.Soma post namba 421.