Ni lazima mimi nirudishe wema kwa mtu ambaye ananipa kitu ambacho kukipata ni haki yangu nayeye kunipa ni wajibu wake ?Je kusema ahsante kwa baba yako kwa nguo alizokununulia licha ya kwamba alikuzaa yeye mwenyewe ni jambo baya!? ... Bila shaka ni jambo zuri.
Ukifanyiwa wema rudisha wema... Sio unafanyiwa wema wewe una rudisha matusi na dharau. HAIINGII AKILINI
Hiyo pumzi si wajibu wake kumpa...ashukuriwe kwa jambo ambalo ni wajibu wake kulifanya?Mwanadamu bhana kapewa pumzi baada ya kumshukuru Muumba wake yeye anamkufuru kama hivi
Subiri siku iyo pumzi ikate ndo utamjua Mungu vizuri kma saivi hutaki kumjua
mshafanywa mazombi mnaamini sababu ya uoga wa kuchomwa moto hahahahaha.Mungu anakuzoom tu unavyojishongondoa humu ngoja zamu yake ifike utajamba upepo sio upepo hewa sio hewa
Hili povu lote ni kumtetea huyo dikteta wenu anaejificha machakani ili mumtafute mkimkosa awachome moto hahahahahaa misukule ya mungu mnafurahisha.Huna lolote unalojua wewe pamoja na kufatilia hili jukwaa kwa miaka miwili bado hujapata kitu cha kutushawishi zaidi ya kutaka watu wakujazie comments Tu "NI KIJANA KIMWILI ILA KIFIKRA WE NI MZEE TENA KIKONGWE" Huna tofauti na mtoto aliyetoka kuachishwa kunyonya na mama yake
Ni bora kuwa msukule wa Mungu saivi ili badae tuje tuwe wafalme wa wajinga na wapumbavu kama weweHili povu lote ni kumtetea huyo dikteta wenu anaejificha machakani ili mumtafute mkimkosa awachome moto hahahahahaa misukule ya mungu mnafurahisha.
Ndivyo mnavyoambiana hivyo!!Ni bora kuwa msukule wa Mungu saivi ili badae tuje tuwe wafalme wa wajinga na wapumbavu kama wewe
Sasa badala ulete hoja za kumpinga ,unaleta vituko gani hivi sasa!!'Heri mtu Yule asiekwenda Katika njia ya wasio haki,Wala hakusimama Katika njia wa wakosaji,Wala hakuketi barazani pa wenye mzaha' MPUMBAVU amesema moyoni mwake hakuna MUNGU!!!!!
Nishamaliza Kama hujaelewa endelea kuamini UPUMBAVU WAKOSasa badala ulete hoja za kumpinga ,unaleta vituko gani hivi sasa!!
Nayeye akiandika maneno "MSUKULE umesema moyoni mwake kuwa kuna MUNGU!!??
kila mtu anaweza kuandika anachojisikia...weka hoja toa upuuzi huu
Miaka yako miwili ulipoteza mudaMimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya uwepo wa Mungu.
Swali kubwa ambalo nimeku wa nikijiuliza ni " Mungu alitoka wapi"
Baada ya kuisoma sana biblia na Quran pamoja na kuwahoji viongozi mbalimbali wa dini, hatimaye nikapata jibu la swali lililonitatiza muda mrefu, Mungu alitoka wapi?
Nimegundua kuwa muumba wa Mungu ni mwanadamu. Yes mwanadamu kama Mimi na wewe ndiye aliyemuumba Mungu.
Kwanini nimefikia hitimisho hilo?
Vitabu tunavyoaminishwa kuwa ni vya Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu ( biblia & Quran) ni vitabu vyenye makosa mengi sana ya kimantiki na habari nyingi zenye utata, jambo ambalo tusingetegemea liwepo katika kitabu kilichoandikwa kwa muongozo kutoka kwa Mungu mkuu mwenye uwezo asiyeshindwa na kitu.
Uwepo wa habari hizo zenye utata zinadhihirisha moja kati ya mambo yafuatayo.
1. Mungu hana ukuu tunaoambiwa ndio sababu ameshindwa kutoa mwongonzo mzuri katika kuandika kitabu kisicho na makosa ya kimatinki.
2. Habari hizi ni zao la fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za giza na ujinga. Mwanadamu ambae alitaka kutafuta majibu mepesi katika maswali magumu yaliyomzunguka ndio sababu zina utata.
Kama jibu ni 1 basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo Bali aliyepo ni dhaifu na mbabaishaji aliyeshindwa kuandika vizuri kitabu kinachomuelezea yeye mwenyewe.
Kama jibu ni 2 ,basi Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu hayupo ndiyo sababu akatokea mtu akatunga habari kutokana na fikra zake mwenyewe. Angekuepo asingeruhusu magepu katika fikra za mwanadamu ambayo yamepelekea mwanadamu huyo kujitungia majibu mepesi na habari zenye utata ili kuziba hayo magepu katika fikra zake.
Pointi zote mbili utaona zinaonyesha kuwa Mungu mkuu asiyeshindwa na kitu mjuzi wa yote hayupo Bali " ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
Tunafikiria vizuri tu.... na ndio maana nimekuuliza.... Na wewe umejibu kirahisi tu sijui.....Sijui alikujaje....hill halifanyi jibu liwe mungu kaumba..
Inabifi tusiwe wavivu wa kufikiri ,tutulize akili na tufanye uchunguzi tupate majibu yenye mantiki zaidi na sio kujitungia majibu ya harakaharaka yasiyothibitishika.
Huna hoja unalazimisha ueleweke...mkiitwa misukule mnashangaa.Nishamaliza Kama hujaelewa endelea kuamini UPUMBAVU WAKO
si muweke hoja mbona mnapita juujuu?Miaka yako miwili ulipoteza muda
what u see everyday is fake 100%,ilimwengu wa nasfi huwezi kuuchambua kwa logic yakipuuzi ivisi muweke hoja mbona mnapita juujuu?
Kwaiyo kitu ukikitaja ndio kinakuwepo?hakuna kitu ambacho hakipo kwa kutamkwa kwa jina mfano kusema mshana jr hayupo aileti maana unasemaje mungu hayupo na ikiwa una mtaja kwa jina mimi na kwambia mungu yupo haki ya mungu tena,
Fake kivipi?what u see everyday is fake 100%,ilimwengu wa nasfi huwezi kuuchambua kwa logic yakipuuzi ivi