Uchaguzi 2020 Unajua ni kwanini Tundu Lissu anamshinda Dkt. Magufuli?

Uchaguzi 2020 Unajua ni kwanini Tundu Lissu anamshinda Dkt. Magufuli?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Kuna wakati hua nafuatilia mijadala hasa kwa jamaa zangu wa CCM wanavyojigamba kwa sababu tu hawafikirii sawa sawa.

Matumaini makubwa kwao kua CCM inaendelea kutawala kwa sababu wapiga kura wengi wako vijijini, wewee nani kakudanganya wapiga kura wengi wako vijijini?

TWENDE NA HESABU HII, NAMBA HAIDANGANYI. CCM HUA MNAHUJUMU MATOKEO?
Kwa sasa mwamko mkubwa wa kua mabadiliko ya kisiasa yako kwenye Majiji makuu ya nchini kwa mfano Dar,Mwanza, Arusha, Mbeya na Tanga. Mwamko mwingine ni kutoka miji iliyochangamka kama vile Moshi, Morogoro, Kugoma,Iringa, Mtwara ni.

Chukulia Dar ina wakazi milion 5, wanajiandikisha siyo chini ya milion 2 au 3, Mbeya siyo jini ya milion 3 wanaojiandikisha, hali kadhalika Arusha siyo chini ya milion 2. Kama hatujui ni kwamba jiji moja linaweza kumeza mikoa 3 au 4 ya Wapiga kura.

Sasa CCM waendelee kubana pua kua wako vijijini, majiji pekee yanaweza kumpeleka mtu Ikulu.

Bado Wapinzani wana mikakati ya kuweka kambi vijijini huko. So, CCM ihesabu kua life span uake iko very short kwa sasa.

Kwa sasa Mgombea kama Tundu Lissu ni mjanja anajua hujuma zote wanazofanyaga CCM, ahuwezi kumshinda kwenye Sanduku la kura wala jukwaani.

Ndio maana jimboni kwake ni mpinzani pekee anayetoka mikoa ya kanda ya kati, hajawahi kushindwa huyu. Unaweza kushinda madiwani wote ila ubunge sahau.Ngoja tuone huu uchaguzi wa Urais JPM atanapenya na njia gani?
 
Lissu hata hawezi kufikia kura atakazopata Membe.

Lissu huyu anayepiga kampeni sokoni baada ya watu kupuzia mikutano yao.[emoji3][emoji3][emoji3]
Eti eeh. Tena Lisu ni kibaraka wa mabeberu
FB_IMG_15985375054443066.jpg


Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Majiji upinzani ni watu wapenda pesa ndio maana Lowasa Ali win their hearts. UKIENDA Baa zote Dar,Arusha ,mbeya ,Moshi zilifurika timu Lowasa wakigawa pombe bure.Bodaboda walijaziwa mafuta nk.

Lowasa alipanga list ya vyao nani atakuwa nani akishika serikali akashika wafanyakazi wengi serikalini na kuwaahidi vyeo na kuwa na wao wapange timu zao

Lisu ni empty handed anapepeta tu mdomo hana hata mia ya kuwapa wapambe wa Chadema mtaaani kwenye majiji wakumpigia debe
 
Lissu hata hawezi kufikia kura atakazopata Membe.

Lissu huyu anayepiga kampeni sokoni baada ya watu kupuzia mikutano yao.[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu aliyesema kuna watu hawatakiwi kusurvive unamuita mchamungu? Acha masihara na Mungu bhanaa
 
Majiji upinzani ni watu wapenda pesa ndio maana Lowasa Ali win their hearts. UKIENDA Baa zote Dar,Arusha ,mbeya ,Moshi zilifurika timu Lowasa wakigawa pombe bure.Bodaboda walijaziwa mafuta nk .Lowasa alipanga list ya vyao nani atakuwa nani akishika serikali akashika wafanyakazi wengi serikalini na kuwaahidi vyeo na kuwa na wao wapange timu zao

Lisu ni empty handed anapepeta tu mdomo hana hata mia ya kuwapa wapambe wa Chadema mtaaani kwenye majiji wakumpigia debe
Hizo pesa za kulisha nchi nzima LOWASSA angetoa wapi ndugu yangu? Unaongelea upupu kabisa
 
Kuna wakati hua nafuatilia mijadala hasa kwa jamaa zangu wa CCM wanavyojigamba kwa sababu tu hawafikirii sawa sawa.

Matumaini makubwa kwao kua CCM inaendelea kutawala kwa sababu wapiga kura wengi wako vijijini, wewee nani kakudanganya wapiga kura wengi wako vijijini?...
Ikulu haijawah kuongozwa kwa miaka 5
 
Kuna wakati hua nafuatilia mijadala hasa kwa jamaa zangu wa CCM wanavyojigamba kwa sababu tu hawafikirii sawa sawa.

Matumaini makubwa kwao kua CCM inaendelea kutawala kwa sababu wapiga kura wengi wako vijijini, wewee nani kakudanganya wapiga kura wengi wako vijijini?...
Atapita kwa njia ya kupigiwa kura
 
Ni kweli Tanzania hatujawahi kupata mgombea mropokaji km huyu, anayetumiwa na Mabeberu kuja kuiba raslimali zetu

Ndio maana amekutwa na mabalaa mengi

Agizo la bashiri umeitikia hadi ukapitiliza.

Taabu moja tu - ukapa wa nondo!
 
Lissu hata hawezi kufikia kura atakazopata Membe.

Lissu huyu anayepiga kampeni sokoni baada ya watu kupuzia mikutano yao.[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani akishapiga kampeni ,akienda 'sokoni'' kupiga stori na wananchi nyie kipi kinawauma?
Anafanya vizuri,anawafikia wananchi kila mahali!
 
Back
Top Bottom