kikwetu wanadai ukimkuta yupo zake ame relax ukaanza kumshambulia bila sababu utapata laana, na wanadai ukimjeruhi atatoa maziwa badala ya damu
ila akikamata mfugo, wewe piga ua
kuna siku tulimkuta ame ka tight kasuala tukamnyang'anya
kuna siku alikamata kondoo wetu akinywa maji mtoni akazama naye, mshua akaomaa akanyang'anya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.