Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
1. Wamasai waondolewe ili wawekezaji wajenge hoteli za kitalii.
2. Wamasai waondolewe ili waarabu wapewe vitalu vya uwindaji na wamilikisshwe hayo maaneo kwa miaka 99.
3. Wamasai wamesaliana ndani ya hifadhi kiasi cha kuadhiri wanyama pori ( from 10K in 1959 to more than 100K 2017)
4. Kuna mwarabu anayaka kununua maeneo yote wanayo ishi wamasai kwa sababu maeneo hayo ni mazuri na yenye rutuba .
5. Serikali inayaka kuilinda ngorongoro kwa ajili ya vizazi vijavyo.
2. Wamasai waondolewe ili waarabu wapewe vitalu vya uwindaji na wamilikisshwe hayo maaneo kwa miaka 99.
3. Wamasai wamesaliana ndani ya hifadhi kiasi cha kuadhiri wanyama pori ( from 10K in 1959 to more than 100K 2017)
4. Kuna mwarabu anayaka kununua maeneo yote wanayo ishi wamasai kwa sababu maeneo hayo ni mazuri na yenye rutuba .
5. Serikali inayaka kuilinda ngorongoro kwa ajili ya vizazi vijavyo.