Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Katika maisha hakunaga nafasi ya kujuta. Wale waliokufurahisha ama kukusaidia wamekufunza umuhimu wa kuwa mtu mwema, waliokuumiza wamekufunza umuhimu wa kuwa mwangalifu na pia kutoumiza wengine.
Mbona Kama unatufunga midomo?
Mada kama hizi za kichokozi zinahitaji wajukuu wenye vichwa kama komandoo!
ila kuna avatar ya mjukuu mmoja inanikera sana!
Nawapenda wajukuu wote.