Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ushauri nasahaa
Tunapitia mengi sana makanisani ukisikiliza mmmh

Kuna familia leo tulikuwa nayo wana tofauti kidogo kweli mwanaume kakiri mapungufu yake

Baada ya yotee tukabidi tutafute chanzo mwanaume akasema mkewe alianza kwenda kanisa moja la kilokole anarudi usiku

Mwisho akirudi wanagombana aka.wambia waende woteeee

Wakaenda siku chache sasa katika kwenda pamoja wakakutanishwa na mchungaji mmoja akawaombea wana mtoto mkubwa na sasa wanataka mapacha

Walipomaliza kuombewa anasema toka sikuileee mkewe akiombwa na mumewe atakiii kutoaa penzi

Wamefikia sasa mwanaume anarudi saa saba usiku ama asubuhi

Haitoshiii mwanaume anasema yule mchungaji ndio bwana wako nini nkamwambia usifike hukoooo Mungu atafanya njiaa.

Mama anasema hajui anachojua anakuwa anajisikia kuchoka kila anapotaka kufanywa mapenzi.

Nikamwambia unatakiwa Maombi ya toba na huruma na kuondokewa na jini mahaba anaekusumbua.

Anyway tukamwonya na madhara yakee ila moja ya ushauri wangu akapime mimba ..

Mume kawaka kivipi bora wakati toka tuombewe tume do mara tatu tu

Dah

Nkamwambia yawezekana miujiza imetokea shida iko wapi??

weewee kelele zake akaitwa mkuu mwingine kushinikiza atulie

Wamama katika ndoa madada ndoa zenu mnaziamua wenyewe zife ziishii

Mkiona hamjisikii kufanya na waume zenu Rudini kwa wazazi wenuu....raha ya mume tendo la ndoa

Wapoo wanakesha makanisani kuomba waolewee sioo hawana uwezo wa kubadili mabwana la haha wanataka myme ambae akiamka anautakaaaa akilalaa anautakaaa anapataa

Sasaaaa

Endeleeeni kutingishiana kwenye sex mtalia mtazalisha wajane waliohai waume zenu bila kupendaa.
 
Ushauri nasahaa
Tunapitia mengi sana makanisan ukisikiliza mmmh

Kuna familia leo tulikuwa nayo wana tofauti kidogo kweli mwanaume kakiri mapungufu yake

Baada ya yotee tukabidi tutafute chanzo mwanaume akasema mkewe alianza kwenda kanisa moja la kilokole anarudi usiku

Mwisho akirudi wanagombana aka.wambia waende woteeee

Wakaenda siku chache sasa ktk kwenda pamoja wakakutanishwa na mch mmoja akawaombea wana mtoto mkubwa na sasa wanataka mapacha

Walipomaliza kuombewa anasema toka sikuileee mkewe akiombwa na mumewe atakiii kutoaa penzi

Wamefikia sasa mwanaume anarudi saa saba usiku ama asbh

Haitoshiii mwanaume anasema yule mch ndio bwana wako nn nkamwambia usifike hukoooo Mungu atafanya njiaa....


Mama anasema hajui anachojua anakuwa anajisikia kuchoka kila anapotaka kufanywa mapenzi

Nkamwambia unatakiwa Mao.bi ya toba na huruma na kuondokewa na jini mahaba anaekusumbua

Anyway tukamwonya na madhara yakee ila moja ya ushauri wangu akapime mimba ..

mume kawaka kivipi br wakati toka tuombewe tume do mara tatu tu

Dah

Nkamwambia yawezekana miujiza imetokea shida iko wapi??

.weewee kelele zake akaitwa mkuu mwingine kushinikiza atulie

Wamama ktk ndoa madada ndoa zenu mnaziamua wenyewe zife ziishii

Mkiona hamjisikii kufanya na waume zenu Rudin kwa wazazi wenuu....raha ya mume tendo la ndoa

Wapoo wanakesha makanisan kuomba waolewee sioo hawana uwezo wa kubadili mabwana la haha wanataka myme ambae akiamka anautakaaaa akilalaa anautakaaa anapataa

Sasaaaa

Endeleeeni kutingishiana kwenye sex mtalia mtazalisha wajane waliohai waume zenu bila kupendaa.....
 
Kilichompata pdidy sijui ni nini? Chanzo cha nondo zake za Zamani sijui kilivamiwa na nani?
 
Kwa kweli ninachojua mpaka sasaa na keshoo yaan nataka

papuchiii mama didy aninyime

ntamwaga mda huoohuoo naenda kupumzika sehemu aisee bila ile sijaona rahaaaa
 
Baada ya yotee tukabidi tutafute chanzo mwanaume akasema mkewe alianza kwenda kanisa moja la kilokole anarudi usiku

Mwisho akirudi wanagombana aka.wambia waende woteeee

Wakaenda siku chache sasa ktk kwenda pamoja wakakutanishwa na mch mmoja akawaombea wana mtoto mkubwa na sasa wanataka mapacha
Hawa wachungaji ni majanga kuweni makini nao
 
A
kuilalia na kuiamkia kuna raha yake😂
Sikwambie mtu yaan wengine ukianza kuhuna n kulia tunatoa speedometer tunaikanyagiaa sasaa dah


Dunia inaa mambo sanaaaaaa

Kuna wanaoendaa makanisani wakaombewee umemeee urudii
Na wengine wamama wanafunga umeme wa waume zao urudi

Huyu mumewe amebakiza hata hizo kw 10 ataki kuzitumia aiseee zingekuwa zinahamishika ningemrushia mselaa wangu mmoja

Nawasisi hata hawa madada na wamama umeme unakataa nafikiria kumshauri jamaa aende nae kufanya maombi mkewee umeme urudi 😂 😂
 
A
kuilalia na kuiamkia kuna raha yake😂
Sikwambie mtu yaan wengine ukianza kuhuna n kulia tunatoa speedometer tunaikanyagiaa sasaa dah


Dunia inaa mambo sanaaaaaa

Kuna wanaoendaa makanisani wakaombewee umemeee urudii
Na wengine wamama wanafunga ymeme wa waume zao urudi

Hiyuu mumewe amebakiza hata hizo kw 10 ataki kuzitumia aiseee zingekuwa zinahamishika ningemrushia mse
 
zamani nilijua umeme shida n kwa wanaume tuu kumbe hata wamama umeme unakatikaq

Changamoto sana jaman yaan maombi tu yatatutoa hapaa
 
hili tatizo alikuwepo nalo wife miaka ya nyuma alivyozqaa ila baadae nahisi ulirudi ama kwa action zangu maana akigoma tu nachukua funguo nawasha moto safari cya asbh loh

Ulirudi wenyewe ama sijui alitumia generataa mpaka sasa aujakata



Shsukran tumezeeka kidogo tunapelekrana kiutu uzima X 2 per day inatosha weekend namwacha jkosi afanye service
 
Back
Top Bottom