Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

Unakesha kuomba mapacha unamnyima unyumba mumeo unataka wakupe majini mahaba?

Hapoo mpaka atokee man of the match kama huyu kuamua mechi kazi mnayoo
 

Attachments

  • 1726465154770.jpg
    1726465154770.jpg
    270 KB · Views: 2
Shetani anataka hiko kidogoo mkuu
 
Wotee mnaoteswaa na kunyimana unyumbaaa


Umeme kukatikaaaaa hayo mapepo nayaamuru kwa jina la Yesu yawatokee yaendee baharini kuanzia usiku huuu

Yatimaaaa wamekuwa wengi sababu yenu mda huuu mtokee mwelekee baharini

In Jesus Name

Sijasema msiogolee baharini...
@C2..

Waebrania 13:4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
 
na ukimaliza chukua kitambaa kisafi kama kipo cheaper vizuri zaidi mfutee mumeeo

Hata ikiwezekana peaneni ahsante
Kama umri aujaenda

@C2 tunaelewana

na nyiee wanaumee mnapopiz hakikisheni mnakaa hata dk 5 kuna wanawake wengine wanakuwa wanataman tena zile dk 5 anaomwaga tena anataman kusikia ikieleaaaa ndani

sioo mnapiz mnatoka kama mekwangua kokwa haipendeziiiii
 
Tofauti Ya 5; MWANAUME anapenda NGONO, Mwanamke anapenda MAPENZI.

Mwanaume na Mwanamke wamesukwa tofauti Sana katika Eneo la tendo la ndoa.

( man and Woman is different Wired)....!

Tendo la ndoa katika ndoa ndio Mhimili wa ndoa, Chakula Cha ndoa, Unyumba n.k

Lina Majina Mengi, Tendo la ndoa likikosekana NDOA inageuka inakuwa NDOANO.

Moja Ya sababu Ya Mwanaume inamfanya AOE ni kutaka kutimiziwa haja zake za kimwili ( Sexual desire).

ndio Maana Mwanaume akinyimwa anakuwa Kama MGONJWA, anaweza hata Kubaka, anakuwa chizi si chizi ( au nadanganya ndugu zangu?😅)

unaambiwa kisaikolojia " Sehemu Kubwa Ya ubongo wa Mwanaume unawaza Sana tendo hili"

Tendo hili ni NEEMA Sana likifanyika kwenye ndoa,nje Ya ndoa ni NOMA tupu.

“A man want sex to Feel Loved, a woman need Affection to Feel Loved”

Yaani "Mwanaume anataka ngono ili ajisikie KUPENDWA, mwanamke anahitaji MAPENZI ili ajisikie KUPENDWA"

hii ni sawa na Kusema "Mwanaume akikosa ngono kwa Mkewe anajisikia HAPENDWI, vile vile Mwanamke akikosa MAPENZI Anajisikia HAPENDWI"

Mwanaume na ngono kwa Mkewe ni Kama SAMAKI na MAJI, labda awe na MATATIZO Ya Kiafya au amerithi tabia za KIKE 🤭

LAKINI Mwanaume kuwa Makini SAMAKI na MAJI huwa marafiki Sana,lakini samaki siku amekamatwa na mvuvi, maji hutumika KUMPIKA rafiki Yake ( sijui Kama unaelewa?)

Tendo la Ndoa huondoa kisirani kwa wanandoa, Penzi linarudi UPYA, kajaribu na MKEO au MUMEO uone.

Ila Mkiendelea Kuwekeana Ratiba na Kunyimana mtakinahiana ( 1wakorintho 7:5)

Mwanamke kinachotangulia kwake ni MAPENZI( affection) so Kuna tofauti Kati Ya ngono na MAPENZI.

wanaume wengi wanajua MAPENZI Ila wengi zaidi hawajui MAPENZI.

Mwanamke ni kiumbe wa Hisia Sana( an emotional feeler) hawezi kutoa mapenzi ikiwa hisia zake hazijafikiwa.
___________
 
Wadada Sikilizeni...

Kile kitendo cha kumkatalia Mwanaume kufanya tendo la ndoa wakati ndo Kwanza mmeanza kufahamiana aisee mnafanyaga Jambo jema Sana, Tena nasema mnafanyaga Maamuzi sahihi kabisa.
Lakini kile kitendo cha kuomba Pesa na Kumweleza boy wako Matatizo yako yanayohitaji Pesa wakati ndo Kwanzaaa mmeanza Mahusiano sasa hapa ndio mnakoseaga Sana yaaani mnakosea sana aiseee.
Kwasababu kama Mna akili za kutambua kua kutoa Penzi mapema ni Makosa Kwanini hamtambui Kuomba Pesa Mapema ni Makosa Pia...!!!???
 
NJIA 10 ZA KUFURAHIA TENDO LA NDOA
```nilijua tu utaangalia ukidhani kuna MPYA hujawahi..😂

Tafadhali osha mikono yako kwa maji safi na sabuni epuka misongamano isiyo ya lazima ili ujikinge na magonjwa❤

Watumie na wenzako kuwa himiza kujikinga magonjwa
 
UKE KUTOA SAUTI 🗣️

Tatizo la uke kutoa sauti wakati wa tendo ni tatizo ambalo linawaumiza wanawake wengi sana kiasi cha mtu kuona hata haya kufanya tendo la ndoa.

Tatizo hili lina vyanzo vingi moja katika vyanzo vyake ni ukubwa au upana wa uke. Uke unapokuwa mpana na ume ukawa si mnene kuweza kubana kwenye kuta za uke pale hewa huingia pindi mume anapoweka ume na kutoa.

Sasa ile hewa ndio inayokwenda kutengeneza sauti kubwa kiasi cha mke kuona paka haya na fedheha kuendelea na tendo. Hili linaweza kuwa ni chanzo kikuu cha sauti ya uke. Jengine ni vitimbi vya kijini au uchawi ili kuharibu ndoa.

Mwanamke akiona kila muda wa tendo kunatoa sauti anakuwa hajiamini mwisho anachukia tendo. Sasa akichukia tendo bila sababu za msingi mume anaweza tafsiri ni kibri mwisho ugomvi na watu kuachana.

Mwanamke mara kwa mara tumia maji ya baridi yaliochanganywa na waridi au kuosha uke hii inasaidia uke kurudi. Pia afanye mazoez KEGEL mara kwa mara hii inasaidia sana kuufanya uke kuwa mdogo kiasi cha kutotoa sauti tendoni.
 
KILA TENDO LA NDOA NJE YA NDOA TUBU
Nakusalimu mpendwa shalom
Imetokea u kawaida sana kwa kutenda Dhambi makusudi hususan uzinifu. .. Tambua gharama ya kusamehewa.. #kutubu na kuungama ni vitu tofauti lakini huleta msamaha ikiwa vitafanyika kwa ukamilifu 👈
UNATUBUJE UZINIFU:. Lazima uelewe kila Dhambi kuna namna yake ya kusamehewa ukijua hivyo hutatenda Dhambi makusudi wala kuchezea neema ya YESU na uzima.
#Tubu kwa uliyezini naye kisha kwa MUNGU,, upate #amani na watu wote.. Tubu kwa uliyeiba kwake kisha kwa MUNGU.🗣️
#Yakobo 5:16
[16]Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii. #AMANI__NAWATU__WOTE
Uzinifu imekuwa fasheni, watu wanapiga picha tumbo wazi nusu uchi na mimba.. hiyo nayo imepatikana nje ya ndoa kwa #uzinzi. Na wanajianika mtandani!
HIVI MUNGU TUNAMUONA JE 😭
MTOTO ULIYEMPATA NJE YA NDOA MTAKASE KWA TOBA ANALAANA
#Zaburi 51:5
[5]Tazama, mimi naliumbwa katika hali ya uovu;
Mama yangu alinichukua mimba hatiani.
Thamini neema ya YESU
hukumu ipo...tubu leo
 
ndoa hamna tofauti na wanaobet

win
Lose
......
nevergiveup
 
Back
Top Bottom