Unakubaliana na Kaduguda kwamba kila simba akicheza na simba lazima mtu afe? Nini tufanye tusife?

Unakubaliana na Kaduguda kwamba kila simba akicheza na simba lazima mtu afe? Nini tufanye tusife?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mzee Kaduguda amehojiwa na kueleza kwamba kila Simba na Yanga wakicheza lazima tukio la kifo kinachotokana na mechi hiyo litokee

Kama ndivyo na sisi ni mashabiki wa timu hizi na ukifa ndio umekufa na atutaweza kushangilia mpira tukifa! Nini tufanye sisi mashabiki tusife kwa sababu ya Simba na Tanga tukaacha watoto na wapendwa zetu na majonzi?

Tujadiliane kabla yakufa kizembe.....let us discus kama ambavyo HIV inaua na tunatumia Kinga kama taadhari basi tubuni mbinu ya kushangilia mpira kufa au kujiua.
 
Mzee Kaduguda amehojiwa na kueleza kwamba kila Simba na Yanga wakicheza lazima tukio la kifo kinachotokana na mechi hiyo litokee

Kama ndivyo na sisi ni mashabiki wa timu hizi na ukifa ndio umekufa na atutaweza kushangilia mpira tukifa! Nini tufanye sisi mashabiki tusife kwa sababu ya Simba na Tanga tukaacha watoto na wapendwa zetu na majonzi?

Tujadiliane kabla yakufa kizembe.....let us discus kama ambavyo HIV inaua na tunatumia Kinga kama taadhari basi tubuni mbinu ya kushangilia mpira kufa au kujiua.
Au mie ndo sijaelewa, Simba akicheza na Simba!!? Edit kichwa cha habari.
 
Back
Top Bottom