Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Unaoga na sabuni ya rungu,inakupiga kichwani unavuja damu UNAKUFA..😃😃😃[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Unakula chips kwa kutumia stick, inakuchoma koo unakufaUnaoga na sabuni ya rungu,inakupiga kichwani unavuja damu UNAKUFA..[emoji2][emoji2][emoji2]
Naona unataka kuntisha sasa nisile chips leo..😁😁😁Unakula chips kwa kutumia stick, inakuchoma koo unakufa
Ukiacha kula chips unabanwa na njaa kali unakufaNaona unataka kuntisha sasa nisile chips leo..[emoji16][emoji16][emoji16]
Mfyuuuuu😂😂😂😂Ukiacha kula chips unabanwa na njaa kali unakufa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mfyuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa sio mzima..hahahahahaUnatembea haraka haraka unajikwaa unapiga pumbu chini zinapasuka unakufa