Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guys have you gone insane[emoji41]?????
msela unajiita sukari ya warembo,unawekwa kwenye chai inayochemka UNAKUFA..Ha haaa you made my day
hapana ni ukweli huoalbadir imeanza kufanya kazi au vp,,?
kivip..????Brodhaa umenikwamisha,!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamtongoza dem mwenye tako kubwa anakubali anakuja geto na unataka mastyle ya ajabu anakukubalia anakukalia unakosa pumz unazimia unakufa.
Ego= . 1.Hahahahahaha !!!!!! Bangi mbaya acha kabisa.
Jambo wangu wa ubani...![emoji7][emoji7]Kazi ipo
unacheka sana unapaliwa na mate unakufaMkuu ni usiku ila nimecheka mpaka basi
unaona "thread ya unakufa" ainog una log out unaingia Fb unakuta ngwimba yako imepost pic ankula denda na mshkaji wako unashtuka umelike Unakufahii ya unakufa hata ainogi.
unalamba asali njia unavamiwa na wenye mali wanakugonga cndano za kutosha unakufaUnakula asali ili kujenga afya uishi muda mrefu, asali inakupalia, unakufa.
asante mkuu😂😂😂😂😂Umelala mlimani unabarizi, jiwe kubwa linaporomoka kutoka juu, linaponda kichwa, kinapasuka, unakufa.