mpigwa vita
Member
- Sep 7, 2018
- 78
- 103
Nani afe sasa kufa mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaikuta ngwimba nzuri unaiaproach inakubal unaenda nayo kungwimbika unaikuta ina dushe kam ww unashtuka unakufaUnachukua simu ya mpenzi, unasoma msg, presha inapanda "UNAKUFA"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaikuta ngwimba nzuri unaiaproach inakubal unaenda nayo kungwimbika unaikuta ina dushe kam ww unashtuka unakufa
[emoji3][emoji3][emoji3]Unamaliza kusoma hii thread unakufa
Demi Mara tunakufa woteWote mliocomment ipo siku mtakufa
DuuuuhhhhhUnawaonyesha waandishi ak 47 ya watekaji umeishika vibaya unajipiga risasi unakufa
Hii lazima nife hahahahaaaUnatype jF app ina stuck inatuma id yako, password na avatar kwa baba mkwe unashtuka unakufa.
Unaniomba chura kumbe Una ngoma nakupa chura unanipa ngoma nakufaNakuomba chura hutaki kunipa, unapita mtoni chura anakurukia anakung'ata chura UNAKUFA
Wahi usijeukajutaKwa kweli inabidi nifanye mpango wa kuja PM kabla sijafa