Unakufa Thread

Unaamua kuoga Kwanza ndo ule unaanguka chooni unakufa na njaa unakosa nguvu ya kwenda mbinguni
 
Unakutana na ID JF unakwenda pm unaomba number unatongoza unatumiwa na pic mnapanga kuonana unakwenda kuonana nae unachokiona sicho ulichokitarajia na unapanda presha unakufaaaa.
 
Unajifanya hupendi kushikwa shikwa mara paaap unashikwa na Homa Unakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…