Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Pembeni una yai la mbuni la kuokwa [emoji2960][emoji1787][emoji1787] fresh
shemeji kachemsha ndugu
nenda nae hivyohivyo mkuukwaiyo nimuache
nenda nae hivyohivyo mkuu
mimi kesho sipiki hizo zitabaki asbh tunaamkia mchana nna jiran zangu tuna mtindo w kugaiana vyakula ikifika sikukuu kama id mimi natoa na wao chrismas wanatoanielekeze kwako niwe mgeni wako kesho!! kwene chakula utanitoa roho
mimi kesho sipiki hizo zitabaki asbh tunaamkia mchana nna jiran zangu tuna mtindo w kugaiana vyakula ikifika sikukuu kama id mimi natoa na wao chrismas wanatoa
Njoo hapa Westgate mkuu au sema sehem ulipokosea nije kukuchukua saiviKaribu sana ni huku Sumbawanga mkuu
baba mwana anafaidi siwez mtolea boko hata siku moja anakula migahawani weekdays tu weekend staring jikoni mwenyewewe mama n balaa humo ndani appetite ya kula haiwezi kukata
poleeeHapa plan zishafeli kwakweli
urojo upatie mixing hizo bajia chauroPAGE II
Vyakula vinavoninyima usingizi
7.Mtura
Aisee ukute waporipori wanaojua kuipika na kuitengeneza hii hutakaa usahau.
Angalizo: ukila ambayo haijatengenezwa vizuri unaweza ukaudhika sana
View attachment 2851797
8.Urojo
Mi nimezaliwa mikoani.Hamna kitu tulikua tuna dis (ponda) ingawa tulikua hatukijui jina tu tulikua tunadhani ni chakula mlegeo lakini nilivokuja pwani nikasema ebu nikitafute.Nilipopata trip ya bagamoyo nikasikia sehemu kwa mpemba wanauza nikaagiza aisee sikuchukia maamuzi yangu
View attachment 2851798
Kama hujaonja hii misosi itafute
#Kwachochote_unachopitia_usiache_kula
mbwa mzee hafundishwi sheria mpyaNataka nimpeleke shule ya mapishi
urojo upatie mixing hizo bajia chauro
mbwa mzee hafundishwi sheria mpya
Daa!! Chapati iko sawa sana hiyoView attachment 2851532
Leo nashindia hizi