Unakula msosi gani leo?

Unakula msosi gani leo?

PAGE II
Vyakula vinavoninyima usingizi

7.Mtura
Aisee ukute waporipori wanaojua kuipika na kuitengeneza hii hutakaa usahau.
Angalizo: ukila ambayo haijatengenezwa vizuri unaweza ukaudhika sana

IMG_3229.jpg



8.Urojo
Mi nimezaliwa mikoani.Hamna kitu tulikua tuna dis (ponda) ingawa tulikua hatukijui jina tu tulikua tunadhani ni chakula mlegeo lakini nilivokuja pwani nikasema ebu nikitafute.Nilipopata trip ya bagamoyo nikasikia sehemu kwa mpemba wanauza nikaagiza aisee sikuchukia maamuzi yangu
IMG_3228.jpg



Kama hujaonja hii misosi itafute

#Kwachochote_unachopitia_usiache_kula
 
PAGE II
Vyakula vinavoninyima usingizi

7.Mtura
Aisee ukute waporipori wanaojua kuipika na kuitengeneza hii hutakaa usahau.
Angalizo: ukila ambayo haijatengenezwa vizuri unaweza ukaudhika sana

View attachment 2851797


8.Urojo
Mi nimezaliwa mikoani.Hamna kitu tulikua tuna dis (ponda) ingawa tulikua hatukijui jina tu tulikua tunadhani ni chakula mlegeo lakini nilivokuja pwani nikasema ebu nikitafute.Nilipopata trip ya bagamoyo nikasikia sehemu kwa mpemba wanauza nikaagiza aisee sikuchukia maamuzi yangu
View attachment 2851798


Kama hujaonja hii misosi itafute

#Kwachochote_unachopitia_usiache_kula
urojo upatie mixing hizo bajia chauro
 
Back
Top Bottom