Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Braza hukuwepo kwenye scene hayo maneno ya vijiweni hayatokusaidia,bifu lao sis wengine tunalijua kiundani kwa hiyo ukiongea uongo tunakuweka kwenye ukweli acha kupotosha watu.Toka lini teja akawa ana nguvu wewe mkuu?
We mwenzenu anamuelewa boy nako babu alagu tofautisha boy nako na lord z mzee
 
We mwenzenu anamuelewa boy nako babu alagu tofautisha boy nako na lord z mzee
Hakuna Bou nako wala Lord Eyes ambaye alidiriki kumgusa PINNA kwa taarifa yenu wakati ule walivyokuwa na bifu wale N2N wote walikuwa Msasani na KIKOSI maskani yao yapo block 41 kama wao wanajiamini mbona hawakwenda na wanapajua kule? Tatizo watu mnapenda kudanganywa ndo shida ndo maana mnaibiwa 1.5trn kwa sababu mentality yenu inapenda kudanganywa.
 
Mazoezi na Muziki Lord Eyes ameanza tangu 1990's since yuko Hardcore Unit Squad na JCB, Spac Dawg & Mastiff. Huyo Kalapina kaonana naye 2000's kamkuta Lord Eyes hivyo-hivyo unavyomuona, hapo labda useme Lord Eyes amshukuru Pinna kwasababu alikua anafikia geto kwao akienda dar kurekodi.
 
Wewe unajua harakati za kikosi zilianza kipindi gani? Kama hujui sema tukusaidie mkuu. Hapa sisi ukiongea uongo tu tunakupa uhalisia kwa hiyo kama hujui sema.Movement za Kikosi watu tunazifahamu nje ndani chief.Usidhani hatujui history
 
Wewe unajua harakati za kikosi zilianza kipindi gani? Kama hujui sema tukusaidie mkuu. Hapa sisi ukiongea uongo tu tunakupa uhalisia kwa hiyo kama hujui sema.Movement za Kikosi watu tunazifahamu nje ndani chief.Usidhani hatujui history
Hata kama harakati za kikosi zilianza 1960, kalapina na N2N wamekutana 2000's so hakuna aliyemfundisha Lord Eyes chochote hapo block 41.
 
Na kwa taarifa yako tu PINNA ndiye mwenye connections zaidi kuliko huyo Lord Eyes wako unayemsapoti na alimuunganisha kwa wadau na ndipo walipokuwa maarufu zaidi brother. Na kuna nyimbo moja waliimba inaitwa "MACHAFUKO" waliimba N2N na KIKOSI. Kwa hiyo huwezi sema tu kwamba mtu alikuja akafikia geto kwa mtu bila msaada wowote.
 
Hata kama harakati za kikosi zilianza 1960, kalapina na N2N wamekutana 2000's so hakuna aliyemfundisha Lord Eyes chochote hapo block 41.
Kumbe mkuu harakati zenyewe huzifahamu unabishabisha tu bila mpango.Kitu kama hujui sio kesi kuomba msaada. Pole sana
 
Wewe unajua harakati za kikosi zilianza kipindi gani? Kama hujui sema tukusaidie mkuu. Hapa sisi ukiongea uongo tu tunakupa uhalisia kwa hiyo kama hujui sema.Movement za Kikosi watu tunazifahamu nje ndani chief.Usidhani hatujui history
Nadhani Mchambuzi amekuweka sawa kuhusu Lord lini kaanza mziki na mazoezi,
maana kuna sehemu unasema wamefundishwa mazoezi na Pina,
 
Kumbe mkuu harakati zenyewe huzifahamu unabishabisha tu bila mpango.Kitu kama hujui sio kesi kuomba msaada. Pole sana
Harakati za kupiga mizinga wapita njia na kuwapiga mabishoo?

Huyo Pinna namjua since ni chipukizi chini ya Hashim Dogo enzi za shadow in the darkness.

Huyo Lord Eyes wewe unamjulia N2N kwenye nyimbo ya Machafuko ila mimi namjua since yuko Hardcore Unit(HU Scuad) enzi za 'Mtanzania Weka Nia'

So nenda taratibu na usiwe na jazba.
 
Nadhani Mchambuzi amekuweka sawa kuhusu Lord lini kaanza mziki na mazoezi,
maana kuna sehemu unasema wamefundishwa mazoezi na Pina,
Hajaniweka sawa mimi ndio nimemuweka sawa kwamba Lord Eyes wakati ule walivyokuwa na urafiki na PINNA kuna vitu alinufaika navyo moja kwa moja ikiwemo support,kupata connections tofauti za wadau na kufanya mazoezi na wala sio jambo la ajabu kwa mtu kama mimi kuyasema haya kwa kuwa naongea kitu ambacho ninakijua kwa 100% kwa hiyo unaponipinga unatakiwa unipinge ukiwa na uhakika sio kubabaisha babaisha mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…