Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Nakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!
mwambie pina anaujua mziki wa koba kimanga
 
Harakati za kupiga mizinga wapita njia na kuwapiga mabishoo?

Huyo Pinna namjua since ni chipukizi chini ya Hashim Dogo enzi za shadow in the darkness.

Huyo Lord Eyes wewe unamjulia N2K kwenye nyimbo ya Machafuko ila mimi namjua since yuko Hardcore Unit(HU Scuad) enzi za 'Mtanzania Weka Nia'

So nenda taratibu na usiwe na jazba.
Aliyekwambia nina jazba nani? Mimi ninawafahamu wote vizuri mkuu kwa hiyo usidhani mpaka nacomment ninaongea nisichojua ninayajua mambo mengi kuliko unavyofikiri isipokuwa kitu ambacho sikipendi ni kuona mtu anaongea uongo hapo lazima tutofautiane chief
 
N
Harakati za kupiga mizinga wapita njia na kuwapiga mabishoo?

Huyo Pinna namjua since ni chipukizi chini ya Hashim Dogo enzi za shadow in the darkness.

Huyo Lord Eyes wewe unamjulia N2N kwenye nyimbo ya Machafuko ila mimi namjua since yuko Hardcore Unit(HU Scuad) enzi za 'Mtanzania Weka Nia'

So nenda taratibu na usiwe na jazba.
a mengine ni mambo ya aibu sana hata kumwambia mtu unajishauri
 
Aliyekwambia nina jazba nani? Mimi ninawafahamu wote vizuri mkuu kwa hiyo usidhani mpaka nacomment ninaongea nisichojua ninayajua mambo mengi kuliko unavyofikiri isipokuwa kitu ambacho sikipendi ni kuona mtu anaongea uongo hapo lazima tutofautiane chief
Mbona Mkuu tambo nyingi,unajua unajua lakini hufunguki! Hebu tupe basi kidogo harakati za Kikosi zilianza lini?
 
Aliyekwambia nina jazba nani? Mimi ninawafahamu wote vizuri mkuu kwa hiyo usidhani mpaka nacomment ninaongea nisichojua ninayajua mambo mengi kuliko unavyofikiri isipokuwa kitu ambacho sikipendi ni kuona mtu anaongea uongo hapo lazima tutofautiane chief
Hujui kitu ndiyo maana umemjulia Lord Eyes kwenye nyimbo ya Machafuko na ndiyo sababu unadhani Lord eyes ametolewa na Pina.
 
Hajaniweka sawa mimi ndio nimemuweka sawa kwamba Lord Eyes wakati ule walivyokuwa na urafiki na PINNA kuna vitu alinufaika navyo moja kwa moja ikiwemo support,kupata connections tofauti za wadau na kufanya mazoezi na wala sio jambo la ajabu kwa mtu kama mimi kuyasema haya kwa kuwa naongea kitu ambacho ninakijua kwa 100% kwa hiyo unaponipinga unatakiwa unipinge ukiwa na uhakika sio kubabaisha babaisha mkuu.
Nadhani hapa kila mtu amenufaika na mwenzake,maana suala la mazoezi Lord ameenza siku nyingi kabla hata hawajakutana na Kikosi,na hata kimuziki wakati wanakutana,N2N walikua tayari ni maarufu!
 
kurap mbona wana rap"" hata waimba mayenu"" Nina kunya nanina hakika mtozoa"" nawasha kama chavi. chavi" hahaaa nimeshaisahau ile mistari.....ile beat ilikuwa ni nyoko
Juma Nature alimjibu kwenye track iitwayo msela ambayo walipiga kolabo na ngwea na Kaka Rashid ( kr ) " Maisha ya kisela sio sawa na usela mavi kunya wazi wazi kama unavyo fikiri mdwanzi.We unafikiri usela ni kuwapora watu kuwalazimisha watu eti walale SAA tatu"
 
Wakati
Harakati za kupiga mizinga wapita njia na kuwapiga mabishoo?

Huyo Pinna namjua since ni chipukizi chini ya Hashim Dogo enzi za shadow in the darkness.

Huyo Lord Eyes wewe unamjulia N2N kwenye nyimbo ya Machafuko ila mimi namjua since yuko Hardcore Unit(HU Scuad) enzi za 'Mtanzania Weka Nia'

So nenda taratibu na usiwe na jazba.
Wakati unapoielezea kikosi kwa mtazamo hasi kumbuka pia hata huyo Lord Eyes wako ni mwizi mzoefu na alishakamatwa na polisi Arusha kwa kuwaibia wazungu Laptops zao na camera. Usidhani watu hatujui chief.
 
Wakati
Harakati za kupiga mizinga wapita njia na kuwapiga mabishoo?

Huyo Pinna namjua since ni chipukizi chini ya Hashim Dogo enzi za shadow in the darkness.

Huyo Lord Eyes wewe unamjulia N2N kwenye nyimbo ya Machafuko ila mimi namjua since yuko Hardcore Unit(HU Scuad) enzi za 'Mtanzania Weka Nia'

So nenda taratibu na usiwe na jazba.
Wakati unapoielezea kikosi kwa mtazamo hasi kumbuka pia hata huyo Lord Eyes wako ni mwizi mzoefu na alishakamatwa na polisi Arusha kwa kuwaibia wazungu Laptops zao na camera. Usidhani watu hatujui chief.
 
Juma Nature alimjibu kwenye track iitwayo msela ambayo walipiga kolabo na ngwea na Kaka Rashid ( kr ) " Maisha ya kisela sio sawa na usela mavi kunya wazi wazi kama unavyo fikiri mdwanzi.We unafikiri usela ni kuwapora watu kuwalazimisha watu eti walale SAA tatu"
Juma Nature mtoto wa kitaa ulikuwa huwezi mgusa kipindi kile hata uwe mbabe kiasi gani maana wanatemeke wote wanaweza wakaandamana kukufata[emoji3]
 
Nadhani hapa kila mtu amenufaika na mwenzake,maana suala la mazoezi Lord ameenza siku nyingi kabla hata hawajakutana na Kikosi,na hata kimuziki wakati wanakutana,N2N walikua tayari ni maarufu!
Kikosi walianza kuwa maarufu kabla ya N2N, hapo umechemka mzee
 
Juma Nature alimjibu kwenye track iitwayo msela ambayo walipiga kolabo na ngwea na Kaka Rashid ( kr ) " Maisha ya kisela sio sawa na usela mavi kunya wazi wazi kama unavyo fikiri mdwanzi.We unafikiri usela ni kuwapora watu kuwalazimisha watu eti walale SAA tatu"
hapana sio kweli ..track Yakima nature ilitangulia kutoka ilitoka 2005..na hiyo ya kala pina nabii coco "" ilitoka mwaka 2007
 
Juma Nature alimjibu kwenye track iitwayo msela ambayo walipiga kolabo na ngwea na Kaka Rashid ( kr ) " Maisha ya kisela sio sawa na usela mavi kunya wazi wazi kama unavyo fikiri mdwanzi.We unafikiri usela ni kuwapora watu kuwalazimisha watu eti walale SAA tatu"
Mkuu I doubt kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa HIP HOP movement bongo au unaongelea mambo kishabiki.
 
hapana sio kweli ..track Yakima nature ilitangulia kutoka ilitoka 2005..na hiyo ya kala pina nabii coco "" ilitoka mwaka 2007
Nikisema baadhi yetu hatuna uelewa wa kutosha kuhusu HIP HOP movement mnabisha. Ndio maana toka mwanzo niliwaambia humu ukiongea uongo lazima utaumbuka tu
 
Kisa cha Pina kuachana na hizo tabia zake za kibabe na uhuni aliokuanao zamani ni askari ambae alikua anadeal na wale watu manunda mitaana, kama ni mtu wa kukaa maskani utakua unajua aina hii ya maaskari yaani anatimba maskani yeyote ile na mkibisha mnapigana na unaambulia kichapo tu.

Kwamfano sisi tunaokaa ukanda huu wa Ukonga pale kituo cha Sitaki Shari kuna jamaa Anaitwa Rando, huyu jamaa ni aina hiyo ya askari aliembadiri Pina kitabia..

Sasa yule askari alikua anamsumbua sana Pina na Pina mwenyewe anakiri kua ata angesema asimame na jamaa kutupa mikono basi asingemuweza maana jamaa alikua fit hatari na yeye hakutaka kumfikisha Pina mbali zaidi alimua kama anampa ushauri tu kua aachane na tabia anazozifanya....

Alimshauri kama anapenda ubabe na kupigana kwanini huko kupigana asikufanye mtaji yaani kumuingizie pesa kuliko kufanya kiharifu, basi ule ushauri aliuelewa sana ndio akajiingiza kwenye mchezo wa boxing. Kwa wale wapenzi wa huu mchezo basi mtakua mmeshamuona Pina majukaani mara kadhaa akizichapa....
pia koba kimanga mzee wa central
 
Back
Top Bottom