Yah! Sio poa mzee ilikua burudani sana ...Ilikuwa Noma
Yupo ccm nowYah! Sio poa mzee ilikua burudani sana ...
Ila pia ikumbukwe Kala alisha gombea udiwani 2010 kupitia CUF na Ubunge 2015 kupitia ICT
Heeh kumbe alishakimbilia ccm?Yupo ccm now
YapHeeh kumbe alishakimbilia ccm?
Hapo tu kaniangusha
Magic fmNikumbushe mkuu
hahahah umenikumbusha kitu aisee Lord Bhana aliisha mrushia pina vizuri tuLord nasikia alimkalisha pina bill canas
Huyu ndie msanii aliyejitoa kufa au kupona kuiokoa Hip Hop wakati inasongwa na Wadau wasiopenda Hip HopNakumbuka alimtandika ngumi chid benzi pale maisha club, alimpiga bou nako mpaka akalazwa aga khan, Alikuwa ana gym lake block 41 ukitaka kuingi gym lazima upige push up 1000,aliwahi kumnyoa nywele salama wa eatv, yeye ndiye aliyeanzisha mambo ya kusema hiphop sio bongo flava na bado ana chuki na bongo flava mpaka leo, anapinga madawa ya kulevya ila na yeye anatumia mmea, alishawahi kupigana na p funk majani pale bongo records ilikuwa Noma, aliwahi Kuwa na bifu na kingoko, dudubaya n.k.....Ongezea mengine, Kalapina!!!!!!
Ulishuhudia nin tupe mkasa ilikuwajehahahah umenikumbusha kitu aisee Lord Bhana aliisha mrushia pina vizuri tu
Kuweka kumbukumbu sawa,Lord Eyes hajawahi kumpiga PINNA na hakuna mtu aliyewahi kumpiga PInna huo ni umbea tu wa kitaani. Kwanza Lord Eyes amshukuru PInna kamsaidia sana kimuziki na mazoezi hayo wamefundishwa sana pale block 41 watu tunajua ishu sema tunakausha tu,ila mkiongea uongo tunawaumbua.Ulishuhudia nin tupe mkasa ilikuwaje
Na vipi kuhusu story ya Dudubaya na Pina?Kuweka kumbukumbu sawa,Lord Eyes hajawahi kumpiga PINNA na hakuna mtu aliyewahi kumpiga PInna huo ni umbea tu wa kitaani. Kwanza Lord Eyes amshukuru PInna kamsaidia sana kimuziki na mazoezi hayo wamefundishwa sana pale block 41 watu tunajua ishu sema tunakausha tu,ila mkiongea uongo tunawaumbua.
Dudubaya alipewa kipigo cha kutosha na Kalapina bilcanass,na DUDUBAYA yeye ndiye aliyekuwa anpenda kuanzisha fujo ila mziki wa PINNA aliokutana nao bila shaka alihadithia na alihama DSM kwa muda.Na vipi kuhusu story ya Dudubaya na Pina?
Stori nyingine humu wadau wanatunga tu wanavyojisikiaKuweka kumbukumbu sawa,Lord Eyes hajawahi kumpiga PINNA na hakuna mtu aliyewahi kumpiga PInna huo ni umbea tu wa kitaani. Kwanza Lord Eyes amshukuru PInna kamsaidia sana kimuziki na mazoezi hayo wamefundishwa sana pale block 41 watu tunajua ishu sema tunakausha tu,ila mkiongea uongo tunawaumbua.
Ni kweli mkuu tatizo JF kuna watoto wametoka fb na instagram wapo wengi wapeda umbeaStori nyingine humu wadau wanatunga tu wanavyojisikia
Hahah!!Dudubaya alipewa kipigo cha kutosha na Kalapina bilcanass,na DUDUBAYA yeye ndiye aliyekuwa anpenda kuanzisha fujo ila mziki wa PINNA aliokutana nao bila shaka alihadithia na alihama DSM kwa muda.
Kuna mdau anasema Pina alimpiga ngumi ya shingo Mau Fundi sasa hayo ni masihara kweli ila tuvumiliane tu huu ni msafara wa mambaNi kweli mkuu tatizo JF kuna watoto wametoka fb na instagram wapo wengi wapeda umbea
Watu wengi ambao wanamuongelea Pinna au Kikosi cha mizinga ni watu wanaoongea kwa ushabiki na mihemko.Sasa sis wengine ambao hatupendi umbea na uongo ukidanganya tunakuchana hapohapo ili uache porojo zako.Hahah!!
Mau Fundi aliwahi kukutana na Pinna wapi? ndio maneno ya vijiweni hayo mkuu na ndipo shida inapoanziaKuna mdau anasema Pina alimpiga ngumi ya shingo Mau Fundi sasa hayo ni masihara kweli ila tuvumiliane tu huu ni msafara wa mamba