Matango pori sasa vijana wadogo ambao hawakuepo zama za kina Pinna nao wakiyachukua wanahadisiana hivyo hivyoMau Fundi aliwahi kukutana na Pinna wapi? ndio maneno ya vijiweni hayo mkuu na ndipo shida inapoanzia
Hata ukiwauliza historia ya movement za KIKOSI nina uhakika wengi hawajui,Matango pori sasa vijana wadogo ambao hawakuepo zama za kina Pinna nao wakiyachukua wanahadisiana hivyo hivyo
Mbona huyu anaonekana mlaini naona povu tu ndio limejaa ndani ya mwiliSijawahi kufatilia record yake kwa ujumla ila hiyo picha hapo chini ilikua ni mwanzoni mwa mwaka 2014 alikua na pambano ila mpinzani wake alimimbia hakutokea ulingoni...
Pina aliomba Mic na kutangaza kutaka pambano na Jephet Kaseba na baada ya hapo alivua Groves akaanza kushusha michano kidogo...View attachment 752500View attachment 752512
Hahah ndio mpinzani hakutokea ulingoniMbona huyu anaonekana mlaini naona povu tu ndio limejaa ndani ya mwili
Anza wewe kujaribu basi ufungue njiaYule Kala Pina angemjaribu Zolla a.k.a Undeee no pain no future ambaye huwa anafanya mazoezi na mwarabu fighter bodyguard wa Diamond
Hahah tatizo ndio wamepishana zamaYule Kala Pina angemjaribu Zolla a.k.a Undeee no pain no future ambaye huwa anafanya mazoezi na mwarabu fighter bodyguard wa Diamond
Kwa hiyo pina hana mbabeWatu wengi ambao wanamuongelea Pinna au Kikosi cha mizinga ni watu wanaoongea kwa ushabiki na mihemko.Sasa sis wengine ambao hatupendi umbea na uongo ukidanganya tunakuchana hapohapo ili uache porojo zako.
Kama yupo na una uhakika walishakunjana mashati msemeKwa hiyo pina hana mbabe
Kila mbabe na mbabe wake sema kwenye zama zake ndio hakutokea sasaKwa hiyo pina hana mbabe
Hahaa labda baunsa wa diamondKila mbabe na mbabe wake sema kwenye zama zake ndio hakutokea sasa
Ndio hakutokea sasa kipindi hichoHahaa labda baunsa wa diamond
haha haaaaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] uchochezi huo,clouds mbona wote wachoraji wa hiyo 7,pale hakuna awezaye kuchora moja
daaahhj hii ngoma ilitokeaga kuniteka moyo kabisaa...hkuna ngoma ya kikosi iliyonitafuna akili na kunikonga moyo kama hiyo aiseeKuna ile *umoja ni nguvu* ni yake au ya kundi?
haha haaaNi kweli mkuu tatizo JF kuna watoto wametoka fb na instagram wapo wengi wapeda umbea
Kwanini Zola D asimjaribu Pina?Yule Kala Pina angemjaribu Zolla a.k.a Undeee no pain no future ambaye huwa anafanya mazoezi na mwarabu fighter bodyguard wa Diamond
Kuna yule baunsa wa Chid Benz naye alikuwa anatishaHahaa labda baunsa wa diamond
Ni ya Pina sio kikosidaaahhj hii ngoma ilitokeaga kuniteka moyo kabisaa...hkuna ngoma ya kikosi iliyonitafuna akili na kunikonga moyo kama hiyo aisee
Yaah! bonge ya ngoma nakumbuka Pina kuna siku alialikwa kilingeni na kina Nikki mbishi kipindi hiyo kilinge kilinge kweli, sasa ulifika muda wa kuimba hii ngoma ebhna asikuambie mtu kila mtu ilimteka moyo japo ilikua imetoka muda tudaaahhj hii ngoma ilitokeaga kuniteka moyo kabisaa...hkuna ngoma ya kikosi iliyonitafuna akili na kunikonga moyo kama hiyo aisee