Wow seriously? Mbona kuna maneno mengine mengi tu ya ajabu kuliko hayo ambayo umeshayabwabwaja tena zaidi ya mara moja?Because that sounds ridiculous to me! Kiasi kwamba siwezi hata liongelea mbele za watu wenye akili timamu. Naona aibu!
Halafu mamii kukaa kimya haimaanishi hujui ila ni aina flani ya busara tum
Haki ya nani tena! And yet mwanamke akichoka manyanyaso akaondoka wanaume wanakuja hapa kusema huyo mwanamke hana uvumilivu yaani badala ya kumshutumu mwanaume mwenzao kwanini anamnyanyasa mwanamke wanamshutumu mwanamke kwanini kashindwa kuvumilia hayo manyanyaso!Hawa wanaojifanya kufuraisha wanaume huishiwa kuuliwa kabisa au kuwa walemavu wakudumu
We ni muongo muongoHapana kwa kweli hauwezi kuwa unafanya haya for fun! Ni kwamba hao wanawake mnaowataka hawapo ndiyo maana mnaumia!
Mimi ninayoyaongea humu hakuna lililonitokea hata moja! Halafu kwa taarifa yako sasa mimi sijuagi kumuomba hela mwanaume yaani wazazi wangu tu huwa naona shida kuwaomba sembuse mwanaume mie huwa naona fahari sana ku pay my own bills na hata nikitoka na companya yangu huwa naona fahari kuwapa offer ya wanachokula/kunywa!
Ndiyo maana huwa namshangaa mwanaume anayeona shida kulipa bills zake na za mwanamke wake eti anataka mwanamke amsaidie kulipa! Mwanaume wa hivi mie namuona ni muoga wa maisha tu!
Yaani mimi mwanamke tu napenda kula kwa jasho langu! Sasa sijui inakuwaje mwanaume anaogopa kula kwa jasho lake anataka mpaka eti mwanamke arekebishe mambo duuh!
Na wewe kupiga kazi pale home non stop usichukulie Kama Ni udikteta hicho ndo kilikuketa kwangu...! Piga Kazi mwanzo mwishoMbona mnaona kama kuprovide kwa ajili ya wake zenu na watoto ni kuwafanyia hisani jamani? Kwani hilo si ni jukumu lenu msipofanya ninyi mnataka afanye nani sasa?
Wewe kuprovide kwa ajili ya familia usitegemee eti ndiyo ticket ya kuwa lilevi na limalaya la kupindukia yaani hiyo siyo sababu ya wewe kufanya makosa! Ukifanya makosa lazima utakosolewa vizuri tu sababu wewe ni mtu mzima unayejua mema na mbaya!
Huyo jamaa yeye ndio tatizo. MariooOya vipi unaenda kukaa kwa mwanamke...
I wonder why you think kuna shida nimezipitia ndiyo maana niko na mitazamo ya namna hii! Mimi ni mtu wa kujifunza kupitia mahusiano na ndoa za watu huwa sisubiri hadi yanikute ndiyo nianze kuwa na misimamo ya aina hii!
Hata mimi naamini watu wazuri bado wapo tena wengi tu ila si unajua kuwa kila binadamu ana upande wake mbaya ambao hamna binadamu mwingine atataka aujue/auone! So mnapowaambia hawa wanaume kuwa wanawake wako submissive msisahau kuwaambia pia kuwa wasiwa provoke hao wanawake hadi kufikia kuuonesha upande wao wa pili!
I am speaking this kutokana na mambo ninayoyashuhudia kwenye ndoa za watu! Kuna watu humu JF walikuwa wana imani kama yako kuhusu mimi ila walipokuja kunifahamu wakajua kumbe ninayoyaongea hayahusiani kabisa na mimi na sasa wananielewa kwanini huwa nasema haya so wewe wala sikulaumu!
Ifike mahali tuwaambie tu ukweli tuache kuwapa moyo! Otherwise tuendelee kuwadanganya kuwa mwanamke unaweza ukamnyanyasa miaka na miaka na asifanye kitu!
Mwanamke ambaye yuko generous hana character hizi kabisa. Halafu umekazania mwanaume kama hali kwa jasho lake wewe ina maana siku zote ulikuwa unawalisha ma boyfriend zako tu? Maana sio kwa uchungu huu!Hapana kwa kweli hauwezi kuwa unafanya haya for fun! Ni kwamba hao wanawake mnaowataka hawapo ndiyo maana mnaumia!
Mimi ninayoyaongea humu hakuna lililonitokea hata moja! Halafu kwa taarifa yako sasa mimi sijuagi kumuomba hela mwanaume yaani wazazi wangu tu huwa naona shida kuwaomba sembuse mwanaume mie huwa naona fahari sana ku pay my own bills na hata nikitoka na companya yangu huwa naona fahari kuwapa offer ya wanachokula/kunywa!
Ndiyo maana huwa namshangaa mwanaume anayeona shida kulipa bills zake na za mwanamke wake eti anataka mwanamke amsaidie kulipa! Mwanaume wa hivi mie namuona ni muoga wa maisha tu!
Yaani mimi mwanamke tu napenda kula kwa jasho langu! Sasa sijui inakuwaje mwanaume anaogopa kula kwa jasho lake anataka mpaka eti mwanamke arekebishe mambo duuh!
Hapana kwa kweli hauwezi kuwa unafanya haya for fun! Ni kwamba hao wanawake mnaowataka hawapo ndiyo maana mnaumia!
Mimi ninayoyaongea humu hakuna lililonitokea hata moja! Halafu kwa taarifa yako sasa mimi sijuagi kumuomba hela mwanaume yaani wazazi wangu tu huwa naona shida kuwaomba sembuse mwanaume mie huwa naona fahari sana ku pay my own bills na hata nikitoka na companya yangu huwa naona fahari kuwapa offer ya wanachokula/kunywa!
Ndiyo maana huwa namshangaa mwanaume anayeona shida kulipa bills zake na za mwanamke wake eti anataka mwanamke amsaidie kulipa! Mwanaume wa hivi mie namuona ni muoga wa maisha tu!
Yaani mimi mwanamke tu napenda kula kwa jasho langu! Sasa sijui inakuwaje mwanaume anaogopa kula kwa jasho lake anataka mpaka eti mwanamke arekebishe mambo duuh!
Ukiona unakuwa abused una haki ya kusepa. Watu wanakuwa judgmental sababu ishu nyingi zinakuja kama one sided stories! Na mara zote wanawake wanakuwa wanabebwa hata ukienda ustawi😝Haki ya nani tena! And yet mwanamke akichoka manyanyaso akaondoka wanaume wanakuja hapa kusema huyo mwanamke hana uvumilivu yaani badala ya kumshutumu mwanaume mwenzao kwanini anamnyanyasa mwanamke wanamshutumu mwanamke kwanini kashindwa kuvumilia hayo manyanyaso!
Hahahah we jamaa ni nazi kweli😝😝😝 kwahio ukapasha kiporo kidogo.Nimesoma tena, nimefikia hapa, hot convo though!
Niliambiwa, "hata ukiondoka kwani wewe ndio wa kwanza kunitafuna, watakuja wengine nao wataondoka"
Nikajisemea "holla to me"[emoji23][emoji23] kumbe nimekalia kiti cha daladala, ngoja kituo kinachofata nishuke. Mwaka mmoja kabla ya kuoa nikakutana nae nikajisemea ngoja nikalie kiti cha daladala tena kwa muda mfupi manake yule mtoto alikuwa mtamu wali maharage unasubiri.
[emoji15][emoji15][emoji15]Nimesoma tena, nimefikia hapa, hot convo though!
Niliambiwa, "hata ukiondoka kwani wewe ndio wa kwanza kunitafuna, watakuja wengine nao wataondoka"
Nikajisemea "holla to me"[emoji23][emoji23] kumbe nimekalia kiti cha daladala, ngoja kituo kinachofata nishuke. Mwaka mmoja kabla ya kuoa nikakutana nae nikajisemea ngoja nikalie kiti cha daladala tena kwa muda mfupi manake yule mtoto alikuwa mtamu wali maharage unasubiri.
Ungefanyaje mkuu, nilipewa bure nikala bure nikaondoka mkuu. Wife atanisamehe coz then tulikuwa bado marafiki, halafu alikuwa ananinyima...ningefanyaje[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah we jamaa ni nazi kweli[emoji13][emoji13][emoji13] kwahio ukapasha kiporo kidogo.
Ningefanyaje pendo!![emoji15][emoji15][emoji15]
Sina la kusema mkuu. All is well lakini.Ningefanyaje pendo!!
Ujuwe hakukuwa na hard feelings, haikuwa kwamba we were back together, tulipata short spell ya kukumbushia nyakati tu.Sina la kusema mkuu. All is well lakini.
Karma never misses address
Yani tatizo Hawa unaowajibu Wana individual conflict rohoni kwao hata uwaeleze vip washajiwekea kua hawatakaa waelewe wanakuja na mada zao badae Wana anza kuzi criticise wenyewe wamekaza shingo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii topic iache... hii mada ya kulipiwa bills iache kabisa.
Ila najiulizaga shida ni nn juu ya hili.
Majibu yangu niliyopata ni:
1. Mwanaume kutokua na mapenz na mwanamke wake. Hakuna mapenz kbs. Hapa anaemda kuspend na mwingine.
2. Enzi hizo wazazi wetu walikia hawasomi sana. Wanaanza kupambana na maisha. Ile ilikua inawajengea congidence sana wanakua wanajimudu mapema. Yet wanaume mbona si kwamba walikia hata na hela nyingi na hawakuogopa maisha? Kidogo hicho hicho wanaweza pambana na kuhudumia familia.
3. Mabadiliko ya nyakati. Unakuta watoto tunakaa sana nyumbani. Pia shule. Kwahiyo baada ya kuhitimu ndo uoga unazidi na hivi mfumo wetu uko juu ya elimu ya kuajiriwa ndo kabisa.
Ila narudi pale juu.. na mapenzi. Mtu akikupenda atafight kwa kadiri ya uwezo wake
Ku provide sio hisani ila kinachotushangaza ni kwamba nyie watoto wa sikuhizi ndio mnaona kama kuwaheshimu wanaume zenu kama kuwafanyia favour hivi ndo maana mnakomaa na kushindana nao...eti ooh asiponifanyia hivi namie vile sifanyi. Mnaendaga deep na kuanza kubana ngenya mkihisi mtamkomoa mtu aanze kubembelezea kitobo wakati ameshapewa leseni ya matumizi toka madhabahuni.Mbona mnaona kama kuprovide kwa ajili ya wake zenu na watoto ni kuwafanyia hisani jamani? Kwani hilo si ni jukumu lenu msipofanya ninyi mnataka afanye nani sasa?
Wewe kuprovide kwa ajili ya familia usitegemee eti ndiyo ticket ya kuwa lilevi na limalaya la kupindukia yaani hiyo siyo sababu ya wewe kufanya makosa! Ukifanya makosa lazima utakosolewa vizuri tu sababu wewe ni mtu mzima unayejua mema na mbaya!